rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
Funga gps bag lako, litie pesa Kisha njoo mbele yangu liangushe Kwa makusudi then uanze ku track hilo bag lako uone kama utalipata
Maisha ya hapo zamani mtu akikuta begi kama hili na kuliacha, watu walimshangaa sana kwamba kapitwa na bahati na bahati haiji mara mbili,
Ila kwa siku hizi mtu akiliacha begi kama hilo ana akili sana, wala si wa kumcheka.
Teknolojia ya GPS tracking imekuwa kubwa sana, Begi lenye maburungutu ya hela ni kawaida sana kuwekwa gps inayoonyesha movement zote za begi, Gps ndigo ya ziada inaweza kuwekwa kwa ustadi katikati ya pesa zilizobanana, hata begi likitupwa location ya mzigo inaonekana.
Gps trackers itaonyesha sehemu lilipo begi na movements zake, hivyo ukiliokota na kwenda nalo nyumbani kwako, watajua lilipo na kulifuata, kibongo bongo utapewa kipigo kikali sambamba na kupewa kesi ya ujambazi.
Watu wanaweka gps kwenye pikipiki na magari na yakiibiwa wanayapata sembuse mabegi yenye maburungutu ya hela ? hilo swali ujuilize sana.
Njia pekee ya kuiba hilo begi labda uwe na jammer wanazotumia majambazi wa kisasa kuiba pikipiki na magari, gps jammer ni kifaa maalum cha kublock mawimbi ya gps tracker.
Begi ukikimbia nalo kwa muda mfupi ukiwa na furaha utasema maisha umeyapata lakini kifuatacho baada ya hapo kinaweza kufanya maisha yako yawe ya majonzi sana.
Pesa nachukua, beki linabaki hapo
Maisha ya hapo zamani mtu akikuta begi kama hili na kuliacha, watu walimshangaa sana kwamba kapitwa na bahati na bahati haiji mara mbili,
Ila kwa siku hizi mtu akiliacha begi kama hilo ana akili sana, wala si wa kumcheka.
Teknolojia ya GPS tracking imekuwa kubwa sana, Begi lenye maburungutu ya hela ni kawaida sana kuwekwa gps inayoonyesha movement zote za begi, Gps ndigo ya ziada inaweza kuwekwa kwa ustadi katikati ya pesa zilizobanana, hata begi likitupwa location ya mzigo inaonekana.
Gps trackers itaonyesha sehemu lilipo begi na movements zake, hivyo ukiliokota na kwenda nalo nyumbani kwako, watajua lilipo na kulifuata, kibongo bongo utapewa kipigo kikali sambamba na kupewa kesi ya ujambazi.
Watu wanaweka gps kwenye pikipiki na magari na yakiibiwa wanayapata sembuse mabegi yenye maburungutu ya hela ? hilo swali ujuilize sana.
Njia pekee ya kuiba hilo begi labda uwe na jammer wanazotumia majambazi wa kisasa kuiba pikipiki na magari, gps jammer ni kifaa maalum cha kublock mawimbi ya gps tracker.
Begi ukikimbia nalo kwa muda mfupi ukiwa na furaha utasema maisha umeyapata lakini kifuatacho baada ya hapo kinaweza kufanya maisha yako yawe ya majonzi sana.
I second this. Yaani mtu atelekeze noti nyingi ili aje apate nini kwa atakayeokota? Ambae huenda hata maisha yake yatakuwa ni magumu kupita maelezoWanafanya hivi wakitaka ku achieve nini? Tuanzie hapo
Huyu analeta habari za kitoto. Na anaefanya hivyo anakuwa analenga nini?Sasa wanaloliacha hapo wanaliacha ili iweje ?!!!
Kama wewe ndiwe nashauri uache utakuja kulia na kusaga meno...
Mfano nalichukua alafu nachukua pesa robo tatu naweka kando alafu napeleka polisi na vijisenti vilivyobaki..., hapo utanishukuru au kunisingizia kwamba nimeiba ? (Slander and Defamation) !!!
Story kwa ufupi mkuu
wengi wanakamatwa hadi wezi wa baiskali zilizofungiwa gps, wizi wa Us inabidi utumie teknolojia za kisasa ama iwe inside job, ukiiba kichwa kichwa unadakwa kama panyaHakuna nchi inayoongoza kwa robbery kama USA na huko wana kila aina ya teknolojia ila wahuni wanapita nazo tu.
Wizi mkubwa wa magari ya kifahari hutokea USA na gari likishaibiwa halipatikani tena mpaka tunakuja kuuziwa huku Africa kwa bei chee.
gps ndogo ya ziada iliyowekwa katikati ya pesa je ?Pesa nachukua, beki linabaki hapo
ushauri wako mzuri,tuna uheshimu...GPS my footBegi ukilikuta njiani kuna uwezekano mkubwa wa uhalifu kuhusika, aidha limetupwa wakati majambazi yakimkimbiza mwenye nalo, majambazi waliiba ila wakalitupa kupoteza ushahidi hasa wakiwa suspects, wezi wameiba pesa na ghafla wanaona kuna ukaguzi barabarani, n.k.
Maisha ya hapo zamani mtu akikuta begi kama hili na kuliacha, watu walimshangaa sana kwamba kapitwa na bahati na bahati haiji mara mbili,
Ila kwa siku hizi mtu akiliacha begi kama hilo ana akili sana, wala si wa kumcheka.
Teknolojia ya GPS tracking imekuwa kubwa sana, Begi lenye maburungutu ya hela ni kawaida sana kuwekwa gps inayoonyesha movement zote za begi, Gps ndigo ya ziada inaweza kuwekwa kwa ustadi katikati ya pesa zilizobanana, hata begi likitupwa location ya mzigo inaonekana.
Gps trackers itaonyesha sehemu lilipo begi na movements zake, hivyo ukiliokota na kwenda nalo nyumbani kwako, watajua lilipo na kulifuata, kibongo bongo utapewa kipigo kikali sambamba na kupewa kesi ya ujambazi.
Watu wanaweka gps kwenye pikipiki na magari na yakiibiwa wanayapata sembuse mabegi yenye maburungutu ya hela ? hilo swali ujuilize sana.
Njia pekee ya kuiba hilo begi labda uwe na jammer wanazotumia majambazi wa kisasa kuiba pikipiki na magari, gps jammer ni kifaa maalum cha kublock mawimbi ya gps tracker.
Begi ukikimbia nalo kwa muda mfupi ukiwa na furaha utasema maisha umeyapata lakini kifuatacho baada ya hapo kinaweza kufanya maisha yako yawe ya majonzi sana.
Nitazikagua nikifika mahali (guest house)gps ndogo ya ziada iliyowekwa katikati ya pesa je ?