Ukikuta begi limetelekezwa limejaa maburungutu ya pesa liache kama lilivyo, usijizidi akili kujiona mjanja ukimbie nalo

Uzuri wanaotafuta hilo begi hawatumii helcopta na cha kuokota si cha kuiba.....nazichukua vizuri tu na begi naliacha nakuwa nabadilika badilika kama saa yaani kwenda hapa nakaa dakika 5 napekenyua kitita kimoja baada ya kingine naweka kando, naondoka tena nakwenda kwingine tena nakaa dakika 5 napekenyua fedha zilizobaki alafu na change tena location (hicho kidude (gps) kama kipo kwenye bundle la hela nakiacha hapo hapo na burungutu moja ya kujazia mafuta.

By the way hizi ni simulizi na hakuna mtu ataweka gps kwenye burungutu la fedha ili iweje yaani maana ukitoa fedha ni kwenda kuzitumia hizo purukushani za gps za nini, labda kama zinasafirishwa kutoka bank kuu kwenda mkoa mwingine
 
Sema mwamba katoa kama tahadhari ila kuna baadhi wamemchukulia poa.. ila omba isikukumbe hii, ni kweli kuna vi trackers ni vidogo sana kuvinotice ni mtiti kuna vingine vimekaa kama stickers so kama mwenye pesa aliweka hako na akaamua kukutrack na hujui atakudaka..
 
Kwani mimi nahitaji begi au pesa?
 
Tume shtuka we ni njagu ume tumwa uhamasishe ujinga humu
 
Sio kwa hali ya sasa mkuu, watu washavaa mabomu
 
Chukua peleka bank unless una wasi wasi sababu fedha ni nyingi na huna huo mzunguko bank ndo tumia akili nyingine ikiwemo ya kuzigawa mara tatu mpaka sita na kuzificha sehemu tofauti tofauti.
 
Movie sio uhalisia japo tracker zipo wahuni wanakamatwa sana majuu
 
Usitutishe
 
Chukua pesa wahi chap kwa wakala nmb crdb fanya muamala potea
Usituletee ugogolosh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…