Ukikutana na mtu akakuita Mwanaume wa Dar es Salaam, jitahidi upigane mpaka ushinde hilo pambano

Ukikutana na mtu akakuita Mwanaume wa Dar es Salaam, jitahidi upigane mpaka ushinde hilo pambano

Error 404

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2022
Posts
2,151
Reaction score
3,493
Jiji hili limedumaza sana ujasiri ,ueledi na uanaume kwa ujumla .

Kuna tukio nimekutana nalo nimewaza sana

I stand to be corrected labda tukiwasema watabadilika .
 
Jiji hili limedumaza sana ujasiri ,ueledi na uanaume kwa ujumla .

Kuna tukio nimekutana nalo nimewaza sana

I stand to be corrected labda tukiwasema watabadilika .
Tukio la ndege kuzama ziwa victoria lilimuibua kijana mmoja kanda ya ziwa, Dar binti anashambuliwa na nyuki badala ya kuchukua hata dawa ya kupulizia insects na kumpunguzia adha bint dume zima limejifungia ndani ya gari na kulalamika kimahaba nyambaff
 
Sasa wapigane Juu wameitwa Wanaume wa Dar?

Wanaume wa Dar wanapigana na Umaskini siyo vitu vingine.
 
Tukio la ndege kuzama ziwa victoria lilimuibua kijana mmoja kanda ya ziwa, Dar binti anashambuliwa na nyuki badala ya kuchukua hata dawa ya kupulizia insects na kumpunguzia adha bint dume zima limejifungia ndani ya gari na kulalamika kimahaba nyambaff
Wanatia Aibu sana
 
Jiji hili limedumaza sana ujasiri ,ueledi na uanaume kwa ujumla .

Kuna tukio nimekutana nalo nimewaza sana

I stand to be corrected labda tukiwasema watabadilika .
Dodoma huko kuna mama na binti yake wamevamiwa wamepigwa hadi kulawitiwa
Hakuna msaada wa majirani
Vp huko nako ni dar

Ova
 
Dodoma huko kuna mama na binti yake wamevamiwa wamepigwa hadi kulawitiwa
Hakuna msaada wa majirani
Vp huko nako ni dar

Ova
Kuna wanaume walikuwa wanaangalia hilo tukio ?
 
Kuna wanaume walikuwa wanaangalia hilo tukio ?
Mbona huko manyara dereva wa lori na bus walipokuwa wanapigana mpk mmoja akapigwa na spana abiria wao walikuwa wabarekodi tu,huko nako ni dar

Ova
 
Hivi tanzania Kuna sehemu tofauti na dar Yaani mtu anaeishi sehemu tofauti na dar atakua nyani huyo sio bure maana tanzania inayojulikana sehemu yenye makazi ya binadamu ni dar kwingine wanaishi nyani na kima
 
Back
Top Bottom