Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar ni kubwa lakini labda kama umemaanisha Sinza na KinondoniJiji hili limedumaza sana ujasiri ,ueledi na uanaume kwa ujumla .
Kuna tukio nimekutana nalo nimewaza sana
I stand to be corrected labda tukiwasema watabadilika .
Tukio la ndege kuzama ziwa victoria lilimuibua kijana mmoja kanda ya ziwa, Dar binti anashambuliwa na nyuki badala ya kuchukua hata dawa ya kupulizia insects na kumpunguzia adha bint dume zima limejifungia ndani ya gari na kulalamika kimahaba nyambaffJiji hili limedumaza sana ujasiri ,ueledi na uanaume kwa ujumla .
Kuna tukio nimekutana nalo nimewaza sana
I stand to be corrected labda tukiwasema watabadilika .
Umaskini upi ?Sasa wapigane Juu wameitwa Wanaume wa Dar?
Wanaume wa Dar wanapigana na Umaskini siyo vitu vingine.
Wanatia Aibu sanaTukio la ndege kuzama ziwa victoria lilimuibua kijana mmoja kanda ya ziwa, Dar binti anashambuliwa na nyuki badala ya kuchukua hata dawa ya kupulizia insects na kumpunguzia adha bint dume zima limejifungia ndani ya gari na kulalamika kimahaba nyambaff
Tukio gani?Jiji hili limedumaza sana ujasiri ,ueledi na uanaume kwa ujumla .
Kuna tukio nimekutana nalo nimewaza sana
I stand to be corrected labda tukiwasema watabadilika .
sahihi kabisaDar ni kubwa lakini labda kama umemaanisha Sinza na Kinondoni
Kutumia makalio yao vzr na kujiingizia kipato.Umaskini upi ?
Dodoma huko kuna mama na binti yake wamevamiwa wamepigwa hadi kulawitiwaJiji hili limedumaza sana ujasiri ,ueledi na uanaume kwa ujumla .
Kuna tukio nimekutana nalo nimewaza sana
I stand to be corrected labda tukiwasema watabadilika .
Kuna wanaume walikuwa wanaangalia hilo tukio ?Dodoma huko kuna mama na binti yake wamevamiwa wamepigwa hadi kulawitiwa
Hakuna msaada wa majirani
Vp huko nako ni dar
Ova
Labda kwa hiloKutumia makalio yao vzr na kujiingizia kipato.
Mbona huko manyara dereva wa lori na bus walipokuwa wanapigana mpk mmoja akapigwa na spana abiria wao walikuwa wabarekodi tu,huko nako ni darKuna wanaume walikuwa wanaangalia hilo tukio ?