Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Igweeeeeeeee 😹😹Yeye mwenyewe ni kero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Igweeeeeeeee 😹😹Yeye mwenyewe ni kero
Hatutaki kwenda kulima, na sie tunataka kukalia v8. Hivho basi tunaomba kiwe na ukomo wa kigombea ubunge term moja tuu ya miaka 5. Hii itatupa fursa wananchi wengi kuwa na mtaji wa kianziokero hii naijibu mimi hapa hapa,vijana msiendekeze mapenzi,badala yake mjikite sana katika kilimo,tuna ardhi yenye rutuba karibu mikoa yote katika nchi hii, na serikali kila msimu inatoa mbegu na mbolea za ruzuku kwa wananchi,wewe mzabzab na vijana wengine kama wewe ukilima ekari mbili kwa miaka mitatu, utakakuwa tayari umepata hela ya kuolea. Tusilaum kila kitu serikali.
NdioooooUkikutana nae utamwambia hivyo?
Oya wikend iyooo naomba bei ya mbususuIgweeeeeeeee 😹😹
NdioooooNdiooooo
hapa tuwe tunajibu kama watu wenye akili na tunatazamana na mh. Mwenyewe,manake unapewa mic mkutanoni unasema jambo kama hili ulilolisema wewe kweli? Hapa utaishia mikononi mwa vyombo vya dola haraka sana.
Ntakuletea new exchange rate, si unajua bei zimechange baada ya Aziz ki kutoa lori la ng’ombe..!! 😹😹😹Oya wikend iyooo naomba bei ya mbususu
🤣🤣🤣🤣🤣 Umenishinda tabia. Basi mammy baki na mbususu yakoNtakuletea new exchange rate, si unajua bei zimechange baada ya Aziz ki kutoa lori la ng’ombe..!! 😹😹😹
Nipe kazi uone km haitafanyika vyema..... Jf ni ya Genius and intelligent people only!dah! Watu mnajua na mko makini humu jf mmh!