Ukikutana na Rais Samia kero gani kubwa utamwambia unayoiona mtaani kwako?

Hatutaki kwenda kulima, na sie tunataka kukalia v8. Hivho basi tunaomba kiwe na ukomo wa kigombea ubunge term moja tuu ya miaka 5. Hii itatupa fursa wananchi wengi kuwa na mtaji wa kianzio
 
Ukianzisha uzi achia wadau waweke comments watakazo sio kutaka kupangia watu vya kukoment
hapa tuwe tunajibu kama watu wenye akili na tunatazamana na mh. Mwenyewe,manake unapewa mic mkutanoni unasema jambo kama hili ulilolisema wewe kweli? Hapa utaishia mikononi mwa vyombo vya dola haraka sana.
 
Hii tabia ya kuombaomba eti anatutafutia pesa wakati pesa ya kodi inayokusanywa ikitumika vibaya ikome. Sioni kabisa sababu ya taifa hili kutembeza bakuli kwenye nchi zilizo na utajiri wa rasilimali kama tulizonazo.
 
Kero ya kwanza nitamwambie yeye ni kero Kwa watanzania na anatakiwa kujiuzulu fullstop
 
Kero ya kwanza nitamwambie yeye ni kero Kwa watanzania na anatakiwa kujiuzulu fullstop
 
Kero ya kwanza nitamwambie yeye ni kero Kwa watanzania na anatakiwa kujiuzulu fullstop
 
Ntakuletea new exchange rate, si unajua bei zimechange baada ya Aziz ki kutoa lori la ng’ombe..!! 😹😹😹
🤣🤣🤣🤣🤣 Umenishinda tabia. Basi mammy baki na mbususu yako
 
Kwamba Hajui ?
Na kama hajui hio ndio Kero ?
Matatizo ni yaleyale Tanzania nzima na kama ni specific kwa Mtaa basi hilo wala sio kazi yake litaweza kutatuliwa kitaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…