Ukikutana na Rais Samia kero gani kubwa utamwambia unayoiona mtaani kwako?

Tuliaminishwa Mradi wa umeme wa Lufijibukikamilikavtutapunguziwa gharama!Bado ni zilezile huku wateule wako wakisema sisi tunsgharama ndogo,unatuambia Nini wanancnhi wako?,Tukikunyima kura utatulaumu tuwape chandema?!!
 
Ahimize vyombo vinavyohusika kudhibiti makelele za haya makanisa ya kiroho mitaani.
 
Nisiwe mnafiki, mama amejitahidi sana. Hakuna kero mitaani zinazohitaji utatuzi kutoka kwake.
 
KATIBA mpya na tume huru ya uchaguzi!
 
Awafute chawa wote chamani na Tanzania,chaguzi za boa la mkono itangazwe kuwa adui wa nne wa taifa na kosa lenye adhabu hata ya kunyongwa,anzishe mchakato wa katiba mpya na ile rasimu ya Mzee mtetezi wa Taifa letu Mzee warioba irejee mezani kwa mchakato rasmi kuelekea kupata katiba mpya iliyo bora na kwa manufaa ya watanzania na Taifa la Tanzania.
 
Ntamwambia aombe talaka kwa mmewe kisha nimuoe mimi maana mimi napenda bongebonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…