PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Jiangalie usije ukaangusha gari wahuni wakajilia mzigo...Ni pride kuelewa watu wenye hela wafe tu
Kama pombe huziwezi si ukalale tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiangalie usije ukaangusha gari wahuni wakajilia mzigo...Ni pride kuelewa watu wenye hela wafe tu
Kweli jf inakila aina ya watu!!!!
Watu wanaanzisha thread wakiwa na Bia 7 kichwani...definately huwezi eleweka unachoandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
😆😆😆
Uchumi mwepesi inakuja:-
1. Unpack bidhaa za nyanya, vitunguu, tangawizi
2. Viwanda vya vyuma bench maingeneer wawaze kutengeneza computer, nyumba za viwanda, magari, umeme
Watu wenye hela hao soon wataleta Wakala zaidi ya 500 mtaani watu waenjoy
Uchumi wa Kati tunafika kirahisi kabisa kama VIPi hawaelewi wafe Tu
Wanatufanyisha kazi ngumu wakati nyepesi zipo
Sera ya hela safi ni kuprint waheshimiwa figure tu
Wafe Tu haruwezi lea jamii usiyoelewa mambo Yao wenyewe
wanaoelewa kilichoandikwa wanitafsirie
Mwenyewe naona picha picha tu,..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wafe Tu maana unavuta bangi mchana hii kazi itakuwa ya MTU aliyechola zombie darasani wafe TuKwakweli nimetoka kapa ... huu uzi ni lazima umeandikwa huku bapa la Nyagi limetaradadi kichwani
Sent using Jamii Forums mobile app