Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanaanzisha thread wakiwa na Bia 7 kichwani...definately huwezi eleweka unachoandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mtoa mada anapost kalewa pombe nyingiNi lugha imeanza kubadilishwa hii awamu au ni uzee unanisumbua?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Uchumi mwepesi inakuja:-
1. Ni kupack bidhaa za nyanya, vitunguu, tangawizi
2. Viwanda vya vyuma bench maingeneer wawaze kutengeneza computer, nyumba za viwanda, magari, umeme
Watu wenye hela hao soon wataleta Wakala zaidi ya 500 mtaani watu waenjoy
Uchumi wa Kati tunafika kirahisi kabisa kama VIPi hawaelewi wafe Tu
Wanatufanyisha kazi ngumu wakati nyepesi zipo
Sera ya hela safi ni kuprint waheshimiwa figure tu
Uchumi mwepesi inakuja:-
1. Ni kupack bidhaa za nyanya, vitunguu, tangawizi
2. Viwanda vya vyuma bench maingeneer wawaze kutengeneza computer, nyumba za viwanda, magari, umeme
Watu wenye hela hao soon wataleta Wakala zaidi ya 500 mtaani watu waenjoy
Uchumi wa Kati tunafika kirahisi kabisa kama VIPi hawaelewi wafe Tu
Wanatufanyisha kazi ngumu wakati nyepesi zipo
Sera ya hela safi ni kuprint waheshimiwa figure tu
Sio bia pekee, hizo ni bangi, wakati huohuo anakimbizana kutimiza idadi ya post kwa siku ili alipwe na wapinga kila jamboWatu wanaanzisha thread wakiwa na Bia 7 kichwani...definately huwezi eleweka unachoandika.
Sent using Jamii Forums mobile app