Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jela na nje ni ideology watu wanazopambania kurahisisha maisha ya watu... Sifa ni JELA kubwa Sana ambalo linatakiwa kupambaniwa kupunguza kila siku...
Waandaa wa Titanic Tanga wametoa report baada ya hapo walianza kucheza taalabu
Walikuwa wanawaza Wakala wa Mkonge Tanzania (managers, tractors, management, Ajira za kudumu n.k labda IPO siku watamaliza)
NDIYO RAHA UKIWAACHA WATU NJE YA MFUMO
Babaaaabake kwani unakimbilia wapi mkuuWafe Tu haruwezi lea jamii usiyoelewa mambo Yao wenyewe
Wafe Tu
Wafe TuWafe na Corona au wafe na nini Mkuu!? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
SASA wafe Tu maana tulidhani KAZI kumbe Yuko vizuri huu mfumo sijui Nani atauchukua zaidi ya Finally hela za kutamani bongo bahati mbaya karibu Ulaya finally out Tanzania has more money than MisriNimeupenda uwasilishaji wako wa hoja kwani umeitendea haki fasihi! Kuna ujumbe muhimu sana kwenye andiko lako lakini wengi wa wachangiaji umewaacha mbali!
Your article is very satirical na wengi umewafumba! Upo vizuri na mbele ya wakati! Ni kweli pesa za matumizi ya Mambo ya hovyo we have more than USA! Bravo!