Ukikutana na watu wa Makinikia viongozi ni kama wako JELA la Nje

Ukikutana na watu wa Makinikia viongozi ni kama wako JELA la Nje

Hapo Gavana yupo usingizini na hiyo ndio ndoto yake au vipi? Halafu hajui hata kama serikali inaliangalia hilo au la.
Labda mnataka uongozi wa mtindo huu Bora ilikuwa haijali familia wafe Tu

 
Sio bia pekee, hizo ni bangi, wakati huohuo anakimbizana kutimiza idadi ya post kwa siku ili alipwe na wapinga kila jambo
Hata hawa wajanja lakini kwenye familia walikula mweleka maisha ya kushare experience wafe Tu

 
Jela na nje ni ideology watu wanazopambania kurahisisha maisha ya watu... Sifa ni JELA kubwa Sana ambalo linatakiwa kupambaniwa kupunguza kila siku...

Waandaa wa Titanic Tanga wametoa report baada ya hapo walianza kucheza taalabu


Walikuwa wanawaza Wakala wa Mkonge Tanzania (managers, tractors, management, Ajira za kudumu n.k labda IPO siku watamaliza)



NDIYO RAHA UKIWAACHA WATU NJE YA MFUMO

Mh hii ni Google translator au ?
 
Moja ya dalili za mtu aliyeambukizwa virus vya Corona ni kuwa na akili kama za huyu mtoa mada.

#EmptyBrain
Unazawadiwa Corona Kwa sababu upo serious kuliko magufuli, Samia SULUHU maana ni Ugonjwa wa kucheka hadharani na siyo kindanindani


 
Nimeupenda uwasilishaji wako wa hoja kwani umeitendea haki fasihi! Kuna ujumbe muhimu sana kwenye andiko lako lakini wengi wa wachangiaji umewaacha mbali!
Your article is very satirical na wengi umewafumba! Upo vizuri na mbele ya wakati! Ni kweli pesa za matumizi ya Mambo ya hovyo we have more than USA! Bravo!
SASA wafe Tu maana tulidhani KAZI kumbe Yuko vizuri huu mfumo sijui Nani atauchukua zaidi ya Finally hela za kutamani bongo bahati mbaya karibu Ulaya finally out Tanzania has more money than Misri
 
Back
Top Bottom