Hahahaa..Mimi nikilewa nakuwa romantic, haya ni maneno niliyoambiwa na pisi. Yaani mahaba yanaongezeka maradufu. Naweza hata nikatoa machozi kwa ajili ya mapenzi nikinywa. Nabembeleza balaa. Na nakuwa mpole sana.
Malaika sikuwahi ipenda. Ilikuwa inajaza sana.. Nilikuwa napita tu ila naishia chini, kule juu/ VIP sikuwahi kanyaga.Close... ni malaika ya dodoma, enzi hizo inawaka.
Ah wapi tutakucare balaa, taratibu unakunywa wala hatukupush.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeee
Nyie siyo wanywaji tu[emoji119][emoji119][emoji119]mnaelekea kwenye ulevi.
Siku nikikaa na nyie si nitazimia[emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka yote niliyoishi Dom hata Pestana sipajui.Malaika sikuwahi ipenda. Ilikuwa inajaza sana.. Nilikuwa napita tu ila naishia chini, kule juu/ VIP sikuwahi kanyaga.
Kwangu palikuwa Rainbow na Platinumz
Life experiences jamani 🤣Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hadi club mnazijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jizazi [emoji44][emoji44][emoji44][emoji134][emoji134]
Zote hizo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hadi club mnazijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
We utakuwa mpenzi wa kunywa na muziki but sio kudance.Malaika sikuwahi ipenda. Ilikuwa inajaza sana.. Nilikuwa napita tu ila naishia chini, kule juu/ VIP sikuwahi kanyaga.
Kwangu palikuwa Rainbow na Platinumz
Inabidi uombeweMiaka yote niliyoishi Dom hata Pestana sipajui.
Ila mimi ni mzembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ah wapi tutakucare balaa, taratibu unakunywa wala hatukupush.
Amapiano zimeanza? Mida inakaribia...Sasa hela tunatafutia nini?
18
Count for me baby
Hapa mpaka nipige kitu moja Ndo ntakata moto
Sio mbaya Sana. Maisha bado yapo, na Dodoma ipo 😂 na kama sio Dom bado kuna mikoa mingine.Miaka yote niliyoishi Dom hata Pestana sipajui.
Ila mimi ni mzembe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amapiano zimeanza? Mida inakaribia...
Unaambiwa zikianza hizo ondoka la sivyo utakesha
Naam. Sasa zinashuka kama maji.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]18
Count for me baby
Hapa mpaka nipige kitu moja Ndo ntakata moto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hela tunatafutia nini?
Enzi hizo tulikuwa tunateswa na zile kwaito. Watu wana steps amazing hadi kukariri shida.Amapiano zimeanza? Mida inakaribia...
Unaambiwa zikianza hizo ondoka la sivyo utakesha
Si ajabu hajui [emoji23][emoji23]Sio mbaya Sana. Maisha bado yapo, na Dodoma ipo [emoji23] na kama sio Dom bado kuna mikoa mingine.
Usijeniambia hata chief asili hupajui