Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Kweli aisee, hizi mota huwa tunafungana nazo sio nzuri . Kuna jamaa yangu anapenda sana hizo Red label huwa anapiga mbili ndogo na anadai hajalewa japo ukimuangalia ni kalewa. Sasa huyu siku akiwa na gari ndio wanapiga mizinga. Ukifuatilia IG na twitter vijana tunatangulia sana akhera aiseYaani we acha tu! Sijui hua kanakuja ka pepo gani tu! RIP Maza! Halafu washikaji ndiyo hua wajinga sana,unasikia Mimi juzi nimepiga Windhoek kama 20,na sikulewa! Hebu pia mbili,za faster one for road,mwingine anasema Mimi nilikata JD moja ndogo na Led Label kubwa na sikulewa! Kumbe ni story tu! IGA uone sasa!!
Sana! Tena vifo vyetu ni kuendesha motokaa tukiwa tumelewa! Odometer inasoma 140,wewe unadhani upo 40! Unashangaa tu puuuuuuuu! Ndo unakua mwisho!!Kweli aisee, hizi mota huwa tunafungana nazo sio nzuri . Kuna jamaa yangu anapenda sana hizo Red label huwa anapiga mbili ndogo na anadai hajalewa japo ukimuangalia ni kalewa. Sasa huyu siku akiwa na gari ndio wanapiga mizinga. Ukifuatilia IG na twitter vijana tunatangulia sana akhera aise
Sent using Jamii Forums mobile app
Familia inapata hasara mara mbili. Kuna wana wanaita kisahani walikua wanapiga stori humu wanadai raha ni kukimaliza chote yani mshale ufike mwisho. Sijui kama bado wapo hai wale wanaSana! Tena vifo vyetu ni kuendesha motokaa tukiwa tumelewa! Odometer inasoma 140,wewe unadhani upo 40! Unashangaa tu puuuuuuuu! Ndo unakua mwisho!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani we acha tu! Sijui hua kanakuja ka pepo gani tu! RIP Maza! Halafu washikaji ndiyo hua wajinga sana,unasikia Mimi juzi nimepiga Windhoek kama 20,na sikulewa! Hebu piga mbili,za faster one for road,mwingine anasema Mimi nilikata JD moja ndogo na Led Label kubwa na sikulewa,mwingine unawahi home kwan unaenda kunyonyesha?? Kumbe ni story tu! IGA uone sasa!!
Ni kweli kabisa. Tunasahau majukumu. Na familia zetu hizi ukifa watoto watateseka sanaaaHa ha ha ha! Road hua ni noma sana! Hua wanasema unazungusha mshale hadi unaukopa! Matokeo yake Israel anakuita! Unaacha watoto wadogo wanateseka tu! Vijana wenzangu,tukilewa tusiendeshe motokaa!!
Duh!Washikaji wana maneno kweli! Ukisikia hivyo,unaona kama hizi dharau sasa,unabaki kula gambe
Nilienda kijijini moshi msimu wa sikuku za wachaga, kule mashambani hakuna usafiri mwingine zaidi ya one ten ya mzee, tulizipiga mbundi na marafiki wa zaman, sijui ilikuaje nikaanguka na pikipiki ikanilalia mpaka saa kumi na moja alfajiri na mimaji ile na kabaridi flani hata sikushtuka, nimejikuta na majeraha kibao, kila kitu mfukoni nilikua nacho sijaibiwa ila simu zote zimetota maji, ziko kwa fundi mpaka leo sijazifataga tena.Ukilewa raha sana,unacheza tu, unaenda kwa DJ unamhonga bia anapiga nyimbo ulizoomba wewe,hapo hutoki, unashangaa tu saa tisa hii hapa!
Onyo ukilewa na huwezi endesha motokaa,bora uache,chukua boda,utakuja chukua motokaa yako kesho! Maana ukilewa,ukiwa unaendesha unaweza nyoosha tu,mbele kumbe kuna round about,guess what will happen!!
Hizi mambo za Zanzi kukimbilia chini mnazotoa wapi, hii ni liquor kwa ajili ya digestion, sasa nashindwa elewa inaingilianaje na huko chini?Sasa utest ukiwa ushaandaa mazingira usije ukaparamia watu!
Ni cream liquor inatengenezwa TZ. Tamu kuliko amarula. Ina ladha ya maziwa pure. Na inashuka chini vibaya mno.
Chupa ndogo 200mls RRP yakeni 6,000 TZS kama sikosei.
Mzee sikuwahi kuumia wala kuwa na majeraha ila safar ile nilipata ngeu kama mwizi.Ha ha ha ha wewe ni kiboko aiseee! Hilo ndiyo tatizo la tungi! Kuna mwingine alikula gambe,akadondoka na pikipiki,ile exozi yakutolea moshi ilimchoma mguuni,wakaja watu asubuhi wakatoa msaada,na huwezi amini,Mwamba eti anauliza hili jeraha limetoka na nini!
Tafuta wine moja tamu Kama jina lako,itakufaa Sana yaitwa hivyo hivyo St. Anna[emoji85]
Nina stress sana brother..hadi nawaza kutumia pombe,labda itapunguza machungu yangu na kunipa usingizi.
Kulala usiku imekuwa mtihani sana kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine ukiwa unapata kilaji, hakikisha mwenza yuko pembeni.Japo si mnywaji sana ila mara chache nilizolewa kidogo napandwa na genye hatari
MmhhUtanistua basi kipenzi
Unataka kuniharibia move naona...Mmhh
Heri akeshe gesti sio?Duh!
Aiseeee
Mungu aniepushie mbali mwanaume anayekesha kilabuni.
Usijali. Wewe ni Mlezi na mtoa nasahaUnataka kuniharibia move naona...
Nikuzawadie kamoja kageni?Usijali. Wewe ni Mlezi na mtoa nasaha