[emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwenye kutoa siri saaasaKila aina ya pombe na tabia zake!
Mimi kinywaji changu ni KVANT sio kwamba naipenda sana noo sababu naimudu gharama yake!
Nikilewa kvant huwa natoa siri sana halafu nakuwa mmbea kinoma...
Kama uliniambia ishu ya siri ukanisisitiza nisiiseme!!!...nikinywa kvant nitaitoa tuu halafu hapohapo naanza kujutia...
Najiapia sitakunywa tena kvant!!
Lakini utasema nimeandikiwa fungu langu ni la kvant tuuu.kesho nitainywa.
Bia ni mpenzi wa kili..
Nitakunywa nitalewa vzr nitaongea point taeleweka..
Ila mwisho kvant lazma ihusike..
Ni kutongoza na kupiga stori za maisha yangu ya Ulaya,huwa ninatembea na ticket ya ndege ukibisha tu nakutolea
Nalog off
[emoji23][emoji23]Kuna watu wabishi ukiwaambia Mi nimeishi Ulaya huwa hawakubali ndio huwa nawatolea ticket ya ndege
Nalog off
Hahaa Saint Anne hainuki kihivo banaKuna moja sijui dompo sijui inanuka kama kinyesi
Nilishawahi ona rum jirani wanakunywa aisee..inanuka vibaya mno.
Yaani sikujua kama Kuna pombe inaitwa St Anna.,nimeijulia humu jf baada ya watu kuwa wanauliza I'd yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we unataka kutuulia mtakatifu wetuKunywea nyumbani dah! Nadhani apate full experience ya kubamizwa na bass la mziki huku vyombo vinapanda taratibu
Huo moshi wake unalewesha?Hii hapa. Nahisi ushawahi kuiona selfika [emoji23] View attachment 1874708
Ni moshi tu unakuwa na flavor, unavuta mdomoni then unautoa nje kupitia mdomoni au puani. Sio sigara wala bangi hii
Ina'vibe lakee [emoji41]
NoHuo moshi wake unalewesha?
Japo si mnywaji sana ila mara chache nilizolewa kidogo napandwa na genye hatari
Hii hapa. Nahisi ushawahi kuiona selfika 😂 View attachment 1874708
Ni moshi tu unakuwa na flavor, unavuta mdomoni then unautoa nje kupitia mdomoni au puani. Sio sigara wala bangi hii
Ina'vibe lakee 😎
Mimi ile harufu yake aisee,,Yule mtu alipita nayo rum nikamwambia aitoe maana inanuka vibaya mno.Hahaa Saint Anne hainuki kihivo bana
Mbona nzuri tu mrembo? Mie mwenyewe sio mtu wa pombe ila hiyo naipiga angalau glass moja
Tena nilianza kuonjea kwa watu nikaielewa, kesho yake nikanunua chupa yangu mwenyewe nikaanza kunywa mdogo mdogo kwa siku bila madhara yoyote
Ila sijui kwanini ile siku namalizia kidogo nikahisi kama kizunguzungu na toka siku hiyo sijainywa tena[emoji86]
Njoo tunywe woteMimi ile harufu yake aisee,,Yule mtu alipita nayo rum nikamwambia aitoe maana inanuka vibaya mno.
Aisee Kuna kujisikia kizunguzungu tena?[emoji134]
Ina vibe... 🔥Hii kitu naona imekuwa maarufu sana kwa Warembo tena katika nchi nyingi duniani.
Njoo nyumbani.Njoo tunywe wote
Iko siku nitajaribu namie
Hapo kwenye kulia mi hua ndo wananiachaga hoi aise[emoji23]Nina rafiki yangu akilewa anaanza kulia na kuwakumbuka ndugu, jamaa na marafiki woote waliokufa.
Mwingine yeye ni kucheka, yaani anakuwa na furaha hatari.
Jaribu tu mkuuIko siku nitajaribu namie
Ukalala hapo hapoNilishamwambiaga DJ anipangie DANCE YA BANAKONGOLE (Koffi), Allo Telephone (Fally Ipupa) afu amalizie na NYAQUATANCE (koffi) nikamwagia hela ya bia 3, nikasepa kusubiria.. alizipanga afu akazirudia.. NILIGHAIRISHA KUONDOKA
Sio mashetani, bali ndio pombe zinavyo nipeleka.Ahahahaaahaa uwiiii[emoji16][emoji16][emoji16]
We una mashetani
Sasa hata sielewi why siku ya mwisho kumalizia ndo nipate hicho kizunguzungu wakati siku zote hizo haikua na madhara lolMimi ile harufu yake aisee,,Yule mtu alipita nayo rum nikamwambia aitoe maana inanuka vibaya mno.
Aisee Kuna kujisikia kizunguzungu tena?[emoji134]