Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Ukilewa huwa unakuwa na tabia gani?

Kila aina ya pombe na tabia zake!
Mimi kinywaji changu ni KVANT sio kwamba naipenda sana noo sababu naimudu gharama yake!

Nikilewa kvant huwa natoa siri sana halafu nakuwa mmbea kinoma...
Kama uliniambia ishu ya siri ukanisisitiza nisiiseme!!!...nikinywa kvant nitaitoa tuu halafu hapohapo naanza kujutia...
Najiapia sitakunywa tena kvant!!

Lakini utasema nimeandikiwa fungu langu ni la kvant tuuu.kesho nitainywa.

Bia ni mpenzi wa kili..
Nitakunywa nitalewa vzr nitaongea point taeleweka..
Ila mwisho kvant lazma ihusike..
[emoji23][emoji23][emoji23]hapo kwenye kutoa siri saaasa
 
Kuna moja sijui dompo sijui inanuka kama kinyesi
Nilishawahi ona rum jirani wanakunywa aisee..inanuka vibaya mno.


Yaani sikujua kama Kuna pombe inaitwa St Anna.,nimeijulia humu jf baada ya watu kuwa wanauliza I'd yangu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa Saint Anne hainuki kihivo bana

Mbona nzuri tu mrembo? Mie mwenyewe sio mtu wa pombe ila hiyo naipiga angalau glass moja

Tena nilianza kuonjea kwa watu nikaielewa, kesho yake nikanunua chupa yangu mwenyewe nikaanza kunywa mdogo mdogo kwa siku bila madhara yoyote

Ila sijui kwanini ile siku namalizia kidogo nikahisi kama kizunguzungu na toka siku hiyo sijainywa tena[emoji86]
 
Hahaa Saint Anne hainuki kihivo bana

Mbona nzuri tu mrembo? Mie mwenyewe sio mtu wa pombe ila hiyo naipiga angalau glass moja

Tena nilianza kuonjea kwa watu nikaielewa, kesho yake nikanunua chupa yangu mwenyewe nikaanza kunywa mdogo mdogo kwa siku bila madhara yoyote

Ila sijui kwanini ile siku namalizia kidogo nikahisi kama kizunguzungu na toka siku hiyo sijainywa tena[emoji86]
Mimi ile harufu yake aisee,,Yule mtu alipita nayo rum nikamwambia aitoe maana inanuka vibaya mno.

Aisee Kuna kujisikia kizunguzungu tena?[emoji134]
 
Nina rafiki yangu akilewa anaanza kulia na kuwakumbuka ndugu, jamaa na marafiki woote waliokufa.

Mwingine yeye ni kucheka, yaani anakuwa na furaha hatari.
Hapo kwenye kulia mi hua ndo wananiachaga hoi aise[emoji23]

Yani ni kulalamika na kulia juu daah[emoji28]
 
Nilishamwambiaga DJ anipangie DANCE YA BANAKONGOLE (Koffi), Allo Telephone (Fally Ipupa) afu amalizie na NYAQUATANCE (koffi) nikamwagia hela ya bia 3, nikasepa kusubiria.. alizipanga afu akazirudia.. NILIGHAIRISHA KUONDOKA
Ukalala hapo hapo
 
Nakuwa confident sana naweza hata ingia kituo cha polisi nianze kuhoji maaskari
 
Mimi ile harufu yake aisee,,Yule mtu alipita nayo rum nikamwambia aitoe maana inanuka vibaya mno.

Aisee Kuna kujisikia kizunguzungu tena?[emoji134]
Sasa hata sielewi why siku ya mwisho kumalizia ndo nipate hicho kizunguzungu wakati siku zote hizo haikua na madhara lol
 
Back
Top Bottom