green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo Brunei au Tururamba?
Yaani natamani Sana aisee.Kunywa mama utahadisia nn sasa kama hautaonja hizi kitu
Yaani nataka nione tu huwa kulewa kunakuwaje.Usijaribu kunywa pombe. Haijawahi kuwa na manufaa kabisa.
Humble advice
Mama mchungaji tulishakubaliana lkn kwamba usijaribuNataka siku moja nijaribu kunywa nione kulewa kunakuwaje.
Ila nadhani siwezi kulewa .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji85]Mama mchungaji tulishakubaliana lkn kwamba usijaribu
Tafadhali usijaribu kabisa utaushangaza ulimwengu
Mimi sitaki kuja kuendelea kunywaUsionje baby
Natamani kuacha ila shetani Ana nguvu jamani
Unfortunately ukishakunywa ukajiona unavyokuwa unapata ecstatic feelings zinakufanya utake kunywa tena na hapo ndio mwanzo wako wa kuanza kunywa pombe.Yaani nataka nione tu huwa kulewa kunakuwaje.
Nikishaona tu kunavyokuwa basi.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji848] Kumbe!Unfortunately ukishakunywa ukajiona unavyokuwa unapata ecstatic feelings zinakufanya utake kunywa tena na hapo ndio mwanzo wako wa kuanza kunywa pombe.
All the best then.[emoji848] Kumbe!
Ila mimi nilishajiahidi kutokuendelea.
Lengo ni kuonja tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta muda uanze na wine ni nzuri sana unarefresh
Una mpango wa kujaribu aina gani ya pombe?Mimi sitaki kuja kuendelea kunywa
Ila nataka nione tu tendency ya kulewa inakuwaje na pombe mdomoni huwa inanogaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saf sana hapo unaupata usingizi mzuuuur kabisaView attachment 1874526
Kwa hisani ya Serikali ya mama Samia Hassan Suluhu
Inabidi niwaulize Sasa wanywaji ni kilevi gani ninachoweza kunywa kitamu kitamu kinachoendana na soda.Una mpango wa kujaribu aina gani ya pombe?
[emoji134]All the best then.
Try at you own risk. Usije kusema hukuambiwa.
Pamoja na changamoto unazopitia mdogo wangu bado nakushauri usithubutu kujaribu[emoji85]
Nina stress sana brother..hadi nawaza kutumia pombe,labda itapunguza machungu yangu na kunipa usingizi.
Kulala usiku imekuwa mtihani sana kwangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe inapunguza stress kwa muda!Pamoja na changamoto unazopitia mdogo wangu bado nakushauri usithubutu kujaribu
Naamini ukitumia haita kuondolea hizo stress bali itakupa break tu kwa muda na itakuongezea zaidi ya hizo uzipatazo
Ninaamini zitakwisha tu jitahudi kuvuta subira tuu
Pamoja na changamoto unazopitia mdogo wangu bado nakushauri usithubutu kujaribu
Naamini ukitumia haita kuondolea hizo stress bali itakupa break tu kwa muda na itakuongezea zaidi ya hizo uzipatazo
Ninaamini zitakwisha tu jitahudi kuvuta subira tuu