Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Watanicheka[emoji23][emoji23][emoji23]Eti na mkishalewa wote hamna judge[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanicheka[emoji23][emoji23][emoji23]Eti na mkishalewa wote hamna judge[emoji23][emoji23]
Tulia hapo hapo, planet hawawezi niangusha, piano zinakuja.ATA sijui saa ngapi
Nahamia Jameson mkion kimya mjue tayari
ATA sijui saa ngapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo magoli... piga vyombo[emoji6]
Pale nyerere square kwa hivi kidogo kama waja halotel unaikuta maisha club kwa nje palikuwaga na vyuku amazing ila hawajawafikia chako ni chako.[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Dom nimekaa miaka mingi sana,nimeishia kupajua jamatin.
Sijui kwanini sikujaribu kujichanganya na mm siku moja niende huko Pestana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamelewa wana time na wewe? Hujakaa na walevi nakuambia ni watu peace na waelewa balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Basi kichwa tu unakichezesha kwa kunyoosha na kufupisha shingo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku unageuka kushoto then kulia taratiiibu
Hana anachojua... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu wala hana shida anaona sawa tu.Pale nyerere square kwa hivi kidogo kama waja halotel unaikuta maisha club kwa nje palikuwaga na vyuku amazing ila hawajawafikia chako ni chako.
Usiniambie pia ulikuwa huli kuku. Na bakhresa pia?
Kumbe kuna hii trickNatafuta popcorn nacheua tu
Hahahaha weweeeeBasi kichwa tu unakichezesha kwa kunyoosha na kufupisha shingo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku unageuka kushoto then kulia taratiiibu
Mweee[emoji134]Pale nyerere square kwa hivi kidogo kama waja halotel unaikuta maisha club kwa nje palikuwaga na vyuku amazing ila hawajawafikia chako ni chako.
Usiniambie pia ulikuwa huli kuku. Na bakhresa pia?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hana anachojua... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu wala hana shida anaona sawa tu.
Yeye na mpenzi wake wote ni kanisani then nyumbani [emoji23][emoji23]
Ah wapi niko kitandani hapa nimejikunyata.... ila bado mapema nikipata kampani naingia viwanjaHahahaha weweeee
Unaonesha ni benga mmoja pro max [emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wamelewa wana time na wewe? Hujakaa na walevi nakuambia ni watu peace na waelewa balaa
🤣🤣🤣 nacheka leoHana anachojua... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu wala hana shida anaona sawa tu.
Yeye na mpenzi wake wote ni kanisani then nyumbani [emoji23][emoji23]
8 kasoro? Ulale tuAh wapi niko kitandani hapa nimejikunyata.... ila bado mapema nikipata kampani naingia viwanja
Basi kichwa tu unakichezesha kwa kunyoosha na kufupisha shingo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huku unageuka kushoto then kulia taratiiibu
Ah wapi niko kitandani hapa nimejikunyata.... ila bado mapema nikipata kampani naingia viwanja
Hatujui itakuaje mpaka upige vyombo ndio uijue tabia yako.
Niko Dodoma sahivi boss [emoji23][emoji23][emoji23]Njoo small planet
Kumbe kuna hii trick