Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Hapana sina hicho kichaa cha pombeSo yeyote alioko karibu ni twende?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana sina hicho kichaa cha pombeSo yeyote alioko karibu ni twende?
Nitajaribu MkuuNadhani Saint Anne itakufaa
Haaaaaaaaah karibu tunywe wote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikinywa pombe inashuka moja kwa moja break chini....napata nyegge zisizo na mfano natamani kufanya tu tena masaa yote sio kimoja cha jogoo
Kucheka cheka ovyoIkiwa weekend ndio imeanza mi nimeona ni share hii mada, maana mi nnapo kunywa pombe hasa pale nnapifikisha chupa ya 12 hua naanza kuchukua namba za simu za warembo wanaokatiza mbele ya macho yangu na nikifikisha chupa ya 18 hua nasogea kwenye viti virefu kaunta hapo sasa pombe baridi zinaanza kushuka huku zikisindikizwa na ala ya music laini nakamata pisi yoyote ambayo ipo bling bling nacheza nayo music huku nikimchombeza tuondoke wote tubadili kiwanja au tukalale mwisho mitego yote ikifeli namshawishi tukapige story kwenye gari kisha tutarudi akikubali tu kaisha.. ila kesho yake hua najuta kwanini nlikunywa kiasi kile mpaka nikafanya matukio kishujaa... share tabia yako baada ya kumoka View attachment 1874469
HuweziNawaza kuacha chupa kwakweli
Napigia simu yeyote nitakayemkumbuka..!! Kivumbi kesho yake sasa nnapopitia simu zilizopigwa..!! Unakuta umempigia hadi anayekudai na ulikuwa unamkimbia siku zote..!! Ishu si hapo, ila ULIOWAPIGIA UMEONGEA NAO NINI?
We Bantu Lady embu njoo nawe utoe ushuhuda hapa
Nikinywa pombe inashuka moja kwa moja break chini....napata nyegge zisizo na mfano natamani kufanya tu tena masaa yote sio kimoja cha jogoo
View attachment 1874526
Kwa hisani ya Serikali ya mama Samia Hassan Suluhu