kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Diarra ni tapeli wa mpira mjanja mjanja anakwenda kuaibika mwisho wake umefika...ndio maana yule chikola alikuwa anachungulia mbali goli walilofunga KMC FC hata mtu mwenye chongo au aliyefungwa kitambaa cha macho hafungwi jamaa ni tapeli sana tuanze kumuhesabia siku jamaa wameweka shati golini ni kazi ya washambuliaji kutungua kutokea mbali!.
Diarra ni shati...
Diarra ni shati...