Ukiliangalia vizuri na umakini goli walilofunga KMC utagundua Diarra ni shati!

Ukiliangalia vizuri na umakini goli walilofunga KMC utagundua Diarra ni shati!

Ukimsema Diarra ni shati hakikisha golikipa wako kafikia hata rekodi ya hilo shati
Hoja mufilisi fabian bathez alikuwa na tuzo ya dunia lakini mwisho wa siku alikuwa shati sembuse hili pazia la chooni watu wanajitungulia toka mbagala mpaka kariakoo walete!
 
Nilicheki highlights. Nadhani alifanya save moja ya kudaivu ila point yangu iko pale pale. Nadhani kimo ndiyo tatizo lake kubwa.
Nenda kamcheki kipa wa madrid anavyotunguliwa karibu kila mechi, je naye tatizo ni kimo au ndo wachambuzi wa kwa Mtogole kila kitu mnajua
 
Hoja mufilisi fabian bathez alikuwa na tuzo ya dunia lakini mwisho wa siku alikuwa shati sembuse hili pazia la chooni watu wanajitungulia toka mbagala mpaka kariakoo walete!
Ambao hamkucheza mpira mna tabu sana,mimi striker nilipoona jamaa kapata upenyo wa kupiga nilijua ni goli,25m peupe ni goli kwa anaejua kupiga
 
Hoja mufilisi fabian bathez alikuwa na tuzo ya dunia lakini mwisho wa siku alikuwa shati sembuse hili pazia la chooni watu wanajitungulia toka mbagala mpaka kariakoo walete!
Baada ya kutunguliwa ikawaje
 
Diarra ni tapeli wa mpira mjanja mjanja anakwenda kuaibika mwisho wake umefika...ndio maana yule chikola alikuwa anachungulia mbali goli walilofunga kmc hata mtu mwenye chongo au aliyefungwa kitambaa cha macho hafungwi jamaa ni tapeli sana tuanze kumuhesabia siku jamaa wameweka shati golini ni kazi ya washambuliaji kutungua kutokea mbali!......
Diarra ni shati...
Nipo na Diarra hapa tunacheka tu
 
Diarra ni tapeli wa mpira mjanja mjanja anakwenda kuaibika mwisho wake umefika...ndio maana yule chikola alikuwa anachungulia mbali goli walilofunga KMC FC hata mtu mwenye chongo au aliyefungwa kitambaa cha macho hafungwi jamaa ni tapeli sana tuanze kumuhesabia siku jamaa wameweka shati golini ni kazi ya washambuliaji kutungua kutokea mbali!.

Diarra ni shati...
Weka video. Diarra ni shati sawa, wewe ni bikini 👙 👙 👙 👙 👙 👙 👙 👙
 
Hoja mufilisi fabian bathez alikuwa na tuzo ya dunia lakini mwisho wa siku alikuwa shati sembuse hili pazia la chooni watu wanajitungulia toka mbagala mpaka kariakoo walete!
Acha kutetea undezi nioneshe golikipa wako akiwa na tuzo na medali kama hiyo. Katika mechi 19 Yanga ina clean clean sheet 15, 9 ni za Diarra unaona ubovu tu hapo kolo wizard wewe.

Ndio maana mnaitwa mbumbumbu kwa akili kama hizi.
 
Ambao hamkucheza mpira mna tabu sana,mimi striker nilipoona jamaa kapata upenyo wa kupiga nilijua ni goli,25m peupe ni goli kwa anaejua kupiga
Asiyejua siku zote hujinasibu anajua kwa mpira gani uliocheza..mpira wa kusikia kwenye redio shukuru azam tv!
 
Acha kutetea undezi nioneshe golikipa wako akiwa na tuzo na medali kama hiyo. Katika mechi 19 Yanga ina clean clean sheet 15, 9 ni za Diarra unaona ubovu tu hapo kolo wizard wewe.

Ndio maana mnaitwa mbumbumbu kwa akili kama hizi.
Naamini maneno ya manara wenye akili ni wawili tu unachobishana nini sasa wakati lile ni shati hiyo clean sheet yako msimu uliopita ilikwenda kwa matampi msimu huu camara bado mechi moja azifikie na kupita msimu haujakwisha ficha ujinga wako!
 
Diarra ni tapeli wa mpira mjanja mjanja anakwenda kuaibika mwisho wake umefika...ndio maana yule chikola alikuwa anachungulia mbali goli walilofunga KMC FC hata mtu mwenye chongo au aliyefungwa kitambaa cha macho hafungwi jamaa ni tapeli sana tuanze kumuhesabia siku jamaa wameweka shati golini ni kazi ya washambuliaji kutungua kutokea mbali!.

Diarra ni shati...
Sawa,mbona hamjashinda na njaa sasa?
 
Naamini maneno ya manara wenye akili ni wawili tu unachobishana nini sasa wakati lile ni shati hiyo clean sheet yako msimu uliopita ilikwenda kwa matampi msimu huu camara bado mechi moja azifikie na kupita msimu haujakwisha ficha ujinga wako!
Hapo umeongelea msimu huu na uliopita. Haya rudi misimu miwili nyuma tena au kipindi hicho ulikua bado Mpitimbi unakunywa uji huelewi chochote kuhusu mpira. Nyie akili huwa mnazipeleka wapi kwa golikipa hatakiwi kufungwa au mnadharau ubora wa wafungaji.? Eti mbumbumbu
 
Hapo umeongelea msimu huu na uliopita. Haya rudi misimu miwili nyuma tena au kipindi hicho ulikua bado Mpitimbi unakunywa uji huelewi chochote kuhusu mpira. Nyie akili huwa mnazipeleka wapi kwa golikipa hatakiwi kufungwa au mnadharau ubora wa wafungaji.? Eti mbumbumbu
Kama unataka kurudi misimu minne nyuma yanga alikuwa mdebwedo nakazia ndipo manara aliposema wenye akili yanga ni wawili tu wewe umeanza kujua mpira msimu wa supu!
 
Kama unataka kurudi misimu minne nyuma yanga alikuwa mdebwedo nakazia ndipo manara aliposema wenye akili yanga ni wawili tu wewe umeanza kujua mpira msimu wa supu!
Huna hoja zaidi ya utumbo ni mipasho na nilishaanza kujisahau wewe ni mbumbumbu. Ukirudi kwenye hoja na ukasimamia hapo nitarudi tuzungumze mpaka sasa baki na ujinga wako.
 
Huna hoja zaidi ya utumbo ni mipasho na nilishaanza kujisahau wewe ni mbumbumbu. Ukirudi kwenye hoja na ukasimamia hapo nitarudi tuzungumze mpaka sasa baki na ujinga wako.
Huna hoja kakojoe ulale umeanza kufuatilia mpira kipindi hiki cha kupikiwa supu na hersi!
 
Back
Top Bottom