kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Hoja mufilisi fabian bathez alikuwa na tuzo ya dunia lakini mwisho wa siku alikuwa shati sembuse hili pazia la chooni watu wanajitungulia toka mbagala mpaka kariakoo walete!Ukimsema Diarra ni shati hakikisha golikipa wako kafikia hata rekodi ya hilo shati