Ukiliangalia vizuri na umakini goli walilofunga KMC utagundua Diarra ni shati!

Ukiliangalia vizuri na umakini goli walilofunga KMC utagundua Diarra ni shati!

Unaangaika na ilo kolo lenye maumivu makali kwa vichapo anavyotoa yanga,,ebu achana nalo!
Hakika kizazi cha supu hujifanya wanajua ila kama ni goli tano wenye kuijua yanga kipigo cha goli 5 bila mpaka kaseja anapiga msumari wa mwisho hawawezi kujitoa ufahamu ni juzi kati vipigo vya mfululizo walikuwa wakituhumu tff inahujumu nyuma mwiko ila kwa kuwa supu na moshi wa kuni imeondoka na akili kama manara alivyosema!
 
Diarra ni pazia la chooni hakuna kitu.

Diarra cleansheet=9
Camara cleansheet=14

Diarra kazidiwa cleansheet 5 na camara. Kwa msimu huu kipa bora wa NBC PREMIER LEAGUE ni MUSA PINPIN CAMARA A.K.A "SPIDER MAN".
 
Diarra ni pazia la chooni hakuna kitu.

Diarra cleansheet=9
Camara cleansheet=14

Diarra kazidiwa cleansheet 5 na camara. Kwa msimu huu kipa bora wa NBC PREMIER LEAGUE ni MUSA PINPIN CAMARA A.K.A "SPIDER MAN".
Kizazi cha supu nyuma mwiko hawalijui hili!
 
Wachezaji siku hizi wanabeti mkuu labda aliweka gg.
 
Asiyejua siku zote hujinasibu anajua kwa mpira gani uliocheza..mpira wa kusikia kwenye redio shukuru azam tv!
Wakati nacheza mpira,tz kama nchi hatukuota kua na kituo cha tv kitachorusha matangazo ya mpira
 
Diarra ni tapeli wa mpira mjanja mjanja anakwenda kuaibika mwisho wake umefika...ndio maana yule chikola alikuwa anachungulia mbali goli walilofunga KMC FC hata mtu mwenye chongo au aliyefungwa kitambaa cha macho hafungwi jamaa ni tapeli sana tuanze kumuhesabia siku jamaa wameweka shati golini ni kazi ya washambuliaji kutungua kutokea mbali!.

Diarra ni shati...
Tena shati la kitenge.

ngara23
 
Back
Top Bottom