BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½ππ½
Yaani TCRA Wamejaa Ma UTOPOLO tu sasa kumiliki laini zaidi ya moja kwa mtandao mmoja ni kosa? Hawajui kwamba kuna router ,modem zinatumia line? Kama napenda mtandao fulani kwa ajili ya kutumia both voice na net na natumia modem/wifi router nikatafute line ya mtandao mwingine?