Ukimkaribisha mtu kinywaji ni jukumu lako kumfharamia.

Ukimkaribisha mtu kinywaji ni jukumu lako kumfharamia.

Unapomkaribisha mtu iwe bar, public house au nyumbani kwako, ni jukumu lako kumfharamia kwa vyote utakavyo milipia. Hujui huyu unaemkaribisha mfuko I ake uko vipi. Si ajabu amebaki na laki moja anaipigia mahesabu itakavyookoa hali ya uchumi nyumbani mpaka mwisho wa mwezi atakapo pokea mshahara.

Hawa vijana wa sikuhizi anakukaribissha bar na ukifika anakuambia mimi hali yangu si nzuri. Sasa kama hali yako si nzuri kuna aliyekulazimisha kuja hapa na kwanini uniite hapa kama hali yako ni ngumu!
Mkuu sky ulivyo smart, leo imekuwaje kupost bila ya ku re edit, au umehakiwa mwanawane?
 
Unapomkaribisha mtu iwe bar, public house au nyumbani kwako, ni jukumu lako kumfharamia kwa vyote utakavyo milipia. Hujui huyu unaemkaribisha mfuko I ake uko vipi. Si ajabu amebaki na laki moja anaipigia mahesabu itakavyookoa hali ya uchumi nyumbani mpaka mwisho wa mwezi atakapo pokea mshahara.

Hawa vijana wa sikuhizi anakukaribissha bar na ukifika anakuambia mimi hali yangu si nzuri. Sasa kama hali yako si nzuri kuna aliyekulazimisha kuja hapa na kwanini uniite hapa kama hali yako ni ngumu!
umeandika makitu gani tena hapo my sky eclat kwenye hiko kichwa cha habari chako?

au ulikuwa unamaanisha kumgharamia?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..... [emoji2937][emoji2937][emoji2937]!!
 
Unakaribishwa bar wakati mwenyewe hela uliyo nayo na hela ya kodi. Pale bar unazungusha round akili inakutuma sionani nao kila siku leo ni siku ya furaha.

Ukirudi nyumbani mwezi mzima unamkwepa land Lord.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo sasa utakuwa unanisema mimi
 
Pole sana, hapo hapo mambo yake unamuachia mwenyewe...
 
Back
Top Bottom