Ukimkaribisha mtu kinywaji ni jukumu lako kumfharamia.

Mkuu sky ulivyo smart, leo imekuwaje kupost bila ya ku re edit, au umehakiwa mwanawane?
 
umeandika makitu gani tena hapo my sky eclat kwenye hiko kichwa cha habari chako?

au ulikuwa unamaanisha kumgharamia?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..... [emoji2937][emoji2937][emoji2937]!!
 
Unakaribishwa bar wakati mwenyewe hela uliyo nayo na hela ya kodi. Pale bar unazungusha round akili inakutuma sionani nao kila siku leo ni siku ya furaha.

Ukirudi nyumbani mwezi mzima unamkwepa land Lord.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo sasa utakuwa unanisema mimi
 
Sawa nakukaribisha kesho kila kitu juu yangu kasoro usafiri wa kuja wa kurudi juu yangu
 
Pole sana, hapo hapo mambo yake unamuachia mwenyewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…