mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Ruto alimkiri na kumtumaini Mungu hadharani, matokeo yake mwulize Uhuru Kenyata na Raila Odinga.
Magufuli alimkiri pia Mungu mbele ya dunia yote kuwa Mungu atatuponya na corona wala hakuna haja ya chanjo na barakoa! Leo hii Watanzania tuko salama wakati dunia imepita kwenye hali ngumu sana!! Watanzania tumwamini na kumkiri Mungu naye atanyosha mapito yetu!