Dr Fauci kawaambia wamarekani wajiaandae kuishi na covid kama wanavyoishi na mafua miaka yote.Magufuli alimkiri pia Mungu mbele ya dunia yote kuwa Mungu atatuponya na corona wala hakuna haja ya chanjo na barakoa!! Leo hii watanzania tuko salama wakati dunia imepita kwenye hali ngumu sana!! Watanzania tumwamini na kumkiri Mungu naye atanyosha mapito yetu!
No more lockdowns.