mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Alikokwenda Magufuli ni mbinguni ambako ni kuzuri sana kuliko duniani hata ukimpa fyrsa ya kurudi duniani hatakubali.Huyo magufuli yuko wapi sasa
Sawa kabisa Yesu ni Mungu na Yesu ni BWANA! Kwa hapo tuko pamoja!!Sema Yesu Kristo Mwana wa Mungu alie hai
Acheni kumung'unya maneno
Kama alikokwenda ni kuzuri mlikuwa mnalia nini sasa.Alikokwenda Magufuli ni mbinguni ambako ni kuzuri sana kuliko duniani hata ukimpa fyrsa ya kurudi duniani hatakubali.
Umemsikia nani akilia?Kama alikokwenda ni kuzuri mlikuwa mnalia nini sasa.
Mwanasiasa kama mtu anaweza kumwamini Mungu pia, hilo limedhihirishwa hadharani na Magufuli na Ruto! Imani inahusiana na watu wote wakiwemo wana siasa!!Mada yako ingekuwa nzuri mno kama usingewaingiza wanasiasa kama kipimo cha imani
Ndio maana nakukubali mkuu! akili kubwaMada yako ingekuwa nzuri mno kama usingewaingiza wanasiasa kama kipimo cha imani
Hili linapunguza uwajibikaji kwa kuwaza kuna sehemu nzuri zaidi ya hii unanyoiona, watu wanajiandaa kunyakuliwa badala kupambana tufurahi maisha hapa dunianiAlikokwenda Magufuli ni mbinguni ambako ni kuzuri sana kuliko duniani hata ukimpa fyrsa ya kurudi duniani hatakubali.
Wanamtaja Mungu kwa maslahi binafsi na si kwa uchaji na uvuvio wa kweli wa kiroho.. In fact wengi wao mikono yao inanuka damu isiyo na hatia na wamejawa na udhalimu mwingiMwanasiasa kama mtu anaweza kumwamini Mungu pia, hilo limedhihirishwa hadharani na Magufuli na Ruto! Imani inahusiana na watu wote wakiwemo wana siasa!!
[emoji1545][emoji1545]Ndio maana nakukubali mkuu! akili kubwa
Umemsikia nani akilia?
Chawa wake including youUmemsikia nani akilia?
Hahaha.. Let me reserve my comment hapa..Alikokwenda Magufuli ni mbinguni ambako ni kuzuri sana kuliko duniani hata ukimpa fyrsa ya kurudi duniani hatakubali.