Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

I say this from what we frequently share about our marriage and life in general. So, I have no reason to say what I don't know.
Simp at your finest mood,,
Guess what? Kwenye akili yako kuna
ka-portion kadogo kenye nguvu kanakuambia kuwa sisi hatujawahi kupenda wala hatujui kujali mamanzi wetu. So wewe ndie mwamba sana..
Una guarantee kubwa sana kichwani mwako mpaka unasema una imani juu ya kile mnashare kwenye conversations zenu..

Listen you stupid young man,, wakeup from that dream you are dreaming. It isnt worth your future..
Wale ana kauli yake anasema hivi " Long as your momma lie dont ever love women"

Sio mbongo huyo kama unadhani labda sisi tumedata na life.
Huyo ni American na ana access ya kudate Manzi yule unaemuota ndotoni na bado hujampata..
 
Kama kuna mtu amenielewa naomba anisaidie kumuelewesha huyu Muheshimiwa.
 
Inatokeaga nadate na manzi namuweka mazingira ya urafiki hadi anajikuta kanisimulia mahusiano yake baadhi ya nyuma.. Guess what wengi huwa wana mwamba ambae aliwapenda sana na kuwapatia kila walichorequest kwake na huwa wanaonekana kujutia hizo nafasi but huwa ni too late..
Sasa mimi huwa nauliza tena so na wewe ulimpenda?
Wanajibu yaani tulipendana sana hadi watu wakawa wanasema

But unaona muda huo anakuwa hayuko na mwamba bali yuko na mimi ambae sina hata mpango wa kumfanyia chochote zaidi ya kula vizuri na kumpa mashine then time goes on tunaachana..
So usifanye vingi sana kwa mwanamke wako ukadhani utammiliki mazima nop it doesnt work like dat.
 
Tatizo kubwa la jamaa yetu lipo hapa.
 
Si kweli. Na wewe unafikiri sijawahi kuwa na fikira kama hizo hadi nilipoamua kubadilika mwenyewe? Life is how you decide to live it. You can decide to live hell and it is possible or the opposite of it and it is possible also. Haya mambo ya ndoa yanategemea wewe mwenyewe unavyotaka yawe. Unaweza ukaamua kuamini kwamba mwanamke ameumbwa kutawaliwa na mwanaume. Unaweza ukaamua kuamini kwamba mwanamke hana akili, na ni mwanaume tu ana akili. Unaweza ukaamua kuamini kwamba kama huna hela huwezi ukamwoa mwanamke na ukakaa naye kama mkeo. Unaweza ukaamua kuamini kwamba kama wewe umebahatika kuwa na hela kuliko mkeo, then yupo hapo tu kukuibia na zikiisha atakukimbia. Kuna post moja nilisema, kabla ya ndoa tulikaa uchumba mwaka 1, kila mmoja akijifunza tabia ya mwenzake, na pia binafsi nilieleza hali halisi ya kwetu kwamba hatuna kitu na kwamba mimi natoka familia maskini. Na mke wangu niliye naye alisema hata yeye hatoki familia yenye uwezo, hivyo haoni kama hilo ni tatizo kwake. Mambo mengi tumejifunza pamoja ya kuondoa, ya kuboresha na ya kuendeleza - ni sisi wote wawili - kila mmoja ana strengths na weaknesses zake na tumeamua to capitalise on our strengths and at the same time work on the weaknesses na tunaendelea kuvumiliana. Hatujafaulu sana kushinda weaknesses zetu, lakini tumeamua kuridhika kwamba hakuna mtu aliye perfect na ambaye anafanya kila jambo vizuri kwa asilimia 100. Kwa mantiki, hii haina maana kwamba mimi ndiye ninayewajua wanawake walivyo au kwamba wewe ndiye unayewajua walivyo, bali kwamba sisi - mimi na mke wangu - tumeamua kuchagua kuishi tunavyoishi. Na pia tumejifunza kwamba inawezekana, maana kuna wanandoa tunaowa'admire' na tunaambiana na sisi tujitahidi kufikia level yao maana inatuvutia, kwamba kumbe inawezekana kuishi hivi au vile. Labda naweza kuiweka/kuwasilisha experience yetu au kuamua kuishi pamoja kama tulivyo kwa namna hii.
 
Kuna kanuni hii napenda kuitumia 'if the theory doesn't fit the practice ignore the theory'. Hivyo, ni vigumu kuni'convince' niamini au nianze kuishi maisha ambayo sina experience nayo. Bado naamini kabisa, do the best and the rest will take care of itself/themselves. Najiepusha kuota ndoto za wengine...na pia naamini 'heri atimizaye kiapo chake hata kama kikimtia hasara'! I vowed (wakati wa kufunga ndoa/kiapo cha ndoa) kumpenda mke wangu, na kuishi naye wakati wa raha na tabu...hadi mwisho wa maisha yangu/yetu na hivi ndivyo ninavyofanya. Sina sababu ya kubadili gia angani.
 
Nazidi kupata elimu kutoka kwenu wakuu 🙌
 
Nakuelewa sana mkuu, najutia sana kuwekeza muda na pesa zangu kwake yn najuta mno mpaka nakuwa mvivu kumove on hasa akijirud
 
Blood unadhani tunakuambia ubadili?
Nop tunakuambia ili ujue!! Sasa kuhusu kubadili au kutobadili utaamua wewe mwenyewe..
Ndio maana hakuna post yangu hata moja humu jamii ambayo nimemwambia mtu yeyote amuache mpenzi wake au abadili gia angani..
Wala mleta mada hajasema umuache huyo uliye nae noo yeye katoa tu muongozo ambao unatakiwa kuwasimamia wanaume wengi ili wawe salama katika maisha yao.

Utashangaa situmii neno wanaume wote bali wengi
Kwa maana tunajua wazi kuwa mpo watu wa dizaini yako tena wengi pengine kutuliko sisi..
The choice is yo'z bro.
 
Wengi wanadhani kuwa tunaandika haya kuwamulika wao tu ambao wapo kwenye hizi situation ambazo ni awkward sana

Wanasahau kuwa haya maandishi ni sehemu ya nafsi zetu itakayoishi hapa duniani kwa miongo mingi kuliko miili yetu..
So mtu akiona bandiko anadhani kuwa tumemtarget yeye so anapinga kwa hoja na nguvu kubwa sana.
Tunaandika yale tuliona na kuyashuhudia mengine yalitokea kwa grounds zetu wenyewe

Hatutaona aibu kuyaweka hapa eti kisa characters ni sisi wenyewe.
Lengo ni ili wale ambao watapitia mambo hayo wasione ugeni bali wajue tu kuwa ni mambo yapo hivyo and they will never change b'coz ni nature.
Hata ikitokea misemo ya oooh dunia imebadilika hakuna kitu kama hicho vitu vingi ni constant and they remain as they are rergardless of your carelessnes.
Ni kama uke kuumeza uume haitatokea kinyume chake hata uume uwe mkubwa kiasi gani bado utamezwa na uke.

Thanks...
 
Sawa! Endeleeni na huo mwongozo wenu "nyie mlio wanaume wengi" na mimi naendelea na maisha yangu niliyochagua maana "kupanga ni kuchagua".
 
Pole ndugu yangu, kisa chako kimeniwazisha mengi.
Kuna namna umaskini unaendelea kuwepo kwa sababu ya mahusiano mapenzi na hata ndoa au familia.
Mwanaume kwenye hayo huwa anatoa kwa hundred percent hajali chochote kuhusu yeye ila kuhudumia iwe familia mapenzi ama mahusiano ila mwisho wa siku anakuwa ni mwenye kupata hasara ya moja kwa moja .
 
Kweli kabisa 28 bado yupo ndani ya muda kabisa, inahitajika kwake kipindi kifupi cha maumivu makali ya hisia lakini itamzalishia kipindi kirefu cha furaha na amani .
Haita mchukua miezi mitatu kumsahau huyo mwanamke ikiwa ataamua .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…