Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha

Huyo jamaa uliyomquote sio tu ni bwege au mjinga Bali ni mtu ambaye akili zake hazina akili au tuseme ni chizi sijui karogwa huyo... Yaani nimesoma story yake mpaka nimepata hasira.

Binafsi naungana na huyo single mama kwa yote anayomfanyia, yes mwanaume kama huyo ambaye hajui thamani yake ni hatakiwi kuheshimiwa hata kidogo na ni haki yake kumdharauliwa na Kila mtu sio wanawake...

Unakaaje na mwanamke ambaye anakufanyia vitimbi vyote Bado uko nae?? Naamini kabisa huyo single mother siku akitaka kuongeza mtoto lazima atamtafuta baba mtoto wake ndio azae nae na hawezi kubeba mbegu ya huyu fala... Huyo fala yeye atahusishwa kwenye malezi tu basi kama ambavyo anahusishwa kwenye kumlea huyo wa kwanza.

Eti jamaa linajinasibu kabisa limefanya hayo yote hili kumfurahisha huyo single mother mara sijui haliko tayari kuingia kwenye mahusiano mengine yaani linaongea utafikiri labda halidindishi na huyo single mother wake analifichia Siri.... Jinga sana hilo
Dah! Nimecheka mno
 
Haujajibu nilichokuuliza. Kwanini mnadanga, Kwanini mnataka kuwa entitled kwenye mali za mwanaume, badala ya kutumia izo opportunities za vicoba?
Tunadanga sababu kuna madanga,hakuna mtu anayeingia kwenye uhusiano kama hafaidiki chichote na huo uhusiano, so kuna danga na mdangaji,they both benefit......ubaya ni pale uhusiano ukiisha unaona umeonewa wakati ulivyokuwa kwenye mahusiano uliona all is fair,unachotoa na unachopata ni haki yako. Unatuuliza why mbona nyinyi hamjihulizi kwa nini mnaamua kuwa madanga? Au madanga ni watu wa jinsia tofauti sio wanaume wenzenu? .......... . ...

....opportunities za vicoba ndio zinatumika au mwenzetu huoni wanawake wakijikomboa? Sema just like any other system adoption yake ina face challenges mbalimbali,ila huwezi ukaignore it's effect on reducing dependancy kwa wanaume...

Entitlements kwa mali za wanaume hio itakuŵepo hata upige kampeni vipi ndugu..hujiulizi kwa nini iko universal. Karibu duniani kote watu wakiachana sheria ni hizi hizo au wewe ndio uko smart sana kushinda waliotunga hizo sheria ambao wengine ni wanaume wenzio??? Tena kama mjanja bora umuwezeshe mkeo mchume wote ili hata mkigawana mgawane wote...kuliko ujifanye selfish then upukutishwe!!!
 
Ndugu yangu,ile kitu wao hawaithamini kabisa ndio maana si ajabu kuigawa ,ukiipata we hakikisha unaichakaza haswa
 
Inahitajika utulivu sana wa akili kuielewa hii post yako mkuu. Orelse watu wanaweza kuhisi uko bitter na wanawake but the truth to be told, tupo kwenye wakati mgumu sana kuliko kipindi chochote kile hususani kwa wanaume wengi ku maintain utawala nowdays world agendas have pushed men to hell.
Kwanini atakuacha? ni swali rahisi sana, atakuacha kwa sababu matamanio ya mwanamke yapo kwa mwanaume ambae amemzidi kila kitu kuanzia umri, hela, elimu, mali n.k

Mwanamke ni mbinafsi, katika mahusiano anataka apate faida kwa maana iyo akitulia na mwanaume ambae wanalingana au amemzidi maana yake uwiano wa kutoa na kupokea hautatofautiana sana, na iyo ndio biashara ambayo mwanamke hataki hata kuisikia, anataka balance sheet isome profit upande wake.

Utakapompa kipaumbele na kumuwezesha mwanamke zaidi yako ataanza kuona anafanya favor ku-date na wewe, atakuona wewe ni dhaifu kwake na ataanza kutafuta mwanaume mwingine ambae amemzidi kila kitu na kwa wakati huo mwanaume uyo sio wewe tena.

Unatakiwa kuelewa kwa mwanamke mapenzi ni biashara, nguzo ya mapenzi kwa mwanamke ni material and monetary benefits anazozipata kutoka kwako, kwaiyo kama upo chini yake maana yake hautaweza kumtimizia gharama za mahitaji yake ambayo hawezi kujitimizia yeye mwenyewe.

Kabla ya kumuwezesha mwanamke akikisha umejiwezesha wewe mwenyewe mara 10 zaidi. Ukimpa elfu 10 akikisha umebakiwa na laki moja kwa ajiri yako, ukimnunulia ist akikisha uwe unatumia range rover. Tena iyo ist usisahau kuandika jina lako kwenye kadi, akizingua unachukua gari lako.

Wanawake wa kisasa wapo kwenye msako mkali sana wa kutafuta wanaume mafala (wenyewe wanawaita gentemen) wa kuwatumia kama ngazi ya mafanikio na kuwaacha wakishatimiza lengo lao. When you hear a woman say she want a gentleman that's means she want a weak, idiot and wealth man.

Wema wake wa sasa usikupumbaze inawezekana ikiwa mbinu tu kwa sababu bado hajapata anachokitaka, mpango wake aliopanga kuufanikisha kupitia wewe bado haujakamilika, when she accomplish her mission in that relationship you will learn the hard way

Ninachokufundisha hapa hautafundishwa shuleni, hautafundishwa na wazazi wala marafiki.

Learn or perish.
 
Inahitajika utulivu sana wa akili kuielewa hii post yako mkuu. Orelse watu wanaweza kuhisi uko bitter na wanawake but the truth to be told, tupo kwenye wakati mgumu sana kuliko kipindi chochote kile hususani kwa wanaume wengi ku maintain utawala nowdays world agendas have pushed men to hell.
Waafrika tulio wengi huwa hatuoni mbali, ni mpaka tuingie shimoni kabisa ndio tunakulupuka. Hizi sera za 50/50 na ferminism tayari zimeishavuluga ustawi wa jamii uko ulaya na marekani. Tunashindwa kuelewa kwamba hatuwezi kuwa na jamii ya kifeminia bila kuangamiza taasisi ya familia.
 
Bandiko limekaa kiupinde kisenge yaani..
Unamaanisha yaani wanaume tuwe tunaomba K kwa wanawake siku zile kabla ya wao kuingia period maana ndio wanakuwa kwenye joto haswa..
Halafu nikuulize swali ndugu mjuaji na mtetezi wa wanawake..
Vipi pale mwanzo wa penzi unakuta mwanamke ndio mhitaji mkubwa wa sex hasa akishakuelewa mjuba??
Yaani inakuwaga hakuna excuse mnaweza mkapiga show hata throughout the month mpaka atakapoingia period.
Hapo unataka kuniambia mwanamke huwa anatumia mechanism gani?
Oyaa blood umezingua kuleta issue petty kama hii kuipinga post ya mwamba..
Broo we unafanya counselling kuhusu mahusiano ya watu?
Mimi nina ushahidi wa kutosha kuwa wanawake huwabania K*ma wanaume most of the time kama unataka sema nimwage hapa namna ya kuwakamata wake zetu ikiwa wanapitia hizo changamoto au laa ni kwamba wameamua tu kuzingua..

Speaking and giving facts about what I have witnessed and faced more than once and some tricks I used to encounter these situations to different women..
Umemjibu vizuri sana.

Mtoa mada yupo sahihi sana mwanamke mzidi vitu vingi na usijaribu kumuwezesha naongea kwa uzoefu kabisa iliwahi kunikuta na huyo mwanamke ni mimi ndo nilimbikiri lakin yalinishinda ilibidi nimuache tu.

Funzo: usimuamshe aliyelala
 
Kwa maana iyo hamuwezi kupambana wenyewe indivually au hamna uhakika na uwezo wenu kwaiyo masuala ya kudanga na entitled kwenye mali za mwanaume mnayachukulia kama back up au insurance endapo mkifeli.

Hata ivyo vicoba unavyojishaua navyo hapa marejesho yake huwa yanawashinda mnaishia kutombwa ili mlipe deni au mnawabebesha mzigo waume zenu wakati hamkuwashirikisha mnapokopa tena mwenzenu kamsababishia kifo mume wake juzi juzi tu.

Most of you modern women you are unrealistic and delutional about your worth and capability. You have to accept the fact that without men you are nothing.
Confirmation bias, kwako wewe stories za mwanamke mmoja kushindwa kurejesha vicoba zinakugusa mtima unasahau vicoba inavyowasaidia wanawake na wengi wanavyopambana/committed ili michezo iwe kwa manufaa yao.

Kuhusu mali za wanaume nimekwambia , hakuna mwanamke anayetaka ndoa yake ife especially kama ameshazaa,ila wanaume ham respect ndoa, ku cheat kwenu ni jambo la kawaida na huwa hamfikirii kama familia itasambaratika huwa hamjali, sasa hizo sheria zimewekwa km security mwanamke doesn't have to lose, na zinafanya kazi familia nyingi zipo imara sababu ya hizo sheria,so vitu vingi vilikua considered.

Halafu acha chuki kwa wanawake, chuki yako imekufanya usione mambo, wanawake daily ni wapambanaji toka hapo nje uone wanaopika maandazi, vitumbua wanaouza genge ni wanawake evidence is there to see...

Nakwambiaje,had we had the same opportunities/privileges (elimu),as you men,leo ungejionea mwenyewe you men are nothing special!
 
Back
Top Bottom