Ukimpata mwanamke anayekupenda usimletee masihara utakuja kumlilia siku akibadilika

Hamna jina naloweza kumpachika brother wako na likampendeza kama jina popoma
 
Mimi nimekuelewa zaidi ya wote. Ulichoandika ni ukweli mtupu. Hii huwa inatokeaga kwa wale wanawake wanaopenda sana kupitiliza, ukimkosea anakuomba yeye samahani, ukimwambia nakuacha atalia nusura ya kufa yaani yuko tayari kufanya jambo lolote ili asikupoteze. Ukitaka waendelee hivyo wapende yaani japo tu mdanganye, ila ukimtesa au akichoka akuacha lazima uumie,

Utajiuliza ni wapi alikohamishia mapenzi Yale na lazima ukonde vile jinga lako limegeuka janja.
 
Kwani watakuwa wameisha watakaokupenda maishanhayo hivyo kunawakati sunchoke basi unaachia
 
Kaka yako kweli bwege...soo it means muda wote huo yeye alikuwa hana pisi kali mbili pembeni ajiliwaze wife akizingua?
 
Huwa kuna upumbafu unatokea na kuanza kuchukulia poa pale mwanamke unapoona matunzo mia toka kwake (I mean "care" ).

Upendo unaona kama unapungua na kumchulia kawaida hivi kisa tumezoea kusumbuliwa sumbuliwa kidogo.

Sasa akichoka acha kabisa. Hata black mamba aliyechokozwa hasira hazifiki wakibadirika.
 
Ndio akome huyo, na wanaume wanaopenda kutesa wanawake Wanaowaheshimu sijui shida huwa nini, maana wanawake wenye tabia njema ndio huteseka kwenye ndoa kuliko mashangingi.
Heheheh kwahio we uko upande gani hapo...shangingi au tabia njema?
 
Andaa juisi ya ndimu tu kupunguza maumivu ya tumbo.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tatizo mnawavimbiaga sana huku unajua bila yeye wewe ni kopo tupu!
 
Hakika mkuu. Siku hizi wamejaa wale walioko kwa ajili ya kukukomoa. Akilala anawaza aje na gia gani kukuchomoa. Mapenzi ya siku hizi yamekuwa na hasara nyingi kuliko faida kwa wanaume.
Hahahaha mapenzi ni biashara sikuhizi! Hamna jinsi zaidi ya kuishi nao kwa akili.
Ukipata demu real ukamletea nyodo hakiyamungu nyimbo ya karma utaicheza vibaya mno.
 
Hahahahah sasa mwanamke ukimnyanyasa sana sindio anaanza kumegwa nje ambako anapata comfort zone, maana KE akiwa bomba sana jua kila wakati anatongozwa na wanaojua mwanamke mzuri yukoje hawataacha kumsumbua huko nje.

Ila kama mpo in good terms hawapi nafasi hata kidogo. Shida huja pale ambako hamna maelewano mazuri ndani lazma ataachia goli wazi tu hasa akipata mtu wa kumsikiliza na kum comfort nje huko. Sasa kwa vikao vya suluhu ambavyo ni vingi tu vishapita kuhusu bro kuwa msumbufu wacha alazwe tu. Mke hawezi pendwa ukweni kama ana tabia za hovyo! Lazma wangemdiss tu
 
Hahahaha mapenzi ni biashara sikuhizi! Hamna jinsi zaidi ya kuishi nao kwa akili.
Ukipata demu real ukamletea nyodo hakiyamungu nyimbo ya karma utaicheza vibaya mno.
Kwa jinsi manungunyembe yalivyojaa hata akitikea real unaona kama anakuaktia
 
Umenena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…