Huyo mwanamke atarudi niamini mm. Nawala hajamsaliti amemchezea mchezo tuu. Sisi ndo wazoefu wa hizi kazi za kupendwa kupitiliza
Ka mchezo na analiwa huko🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwanamke atarudi niamini mm. Nawala hajamsaliti amemchezea mchezo tuu. Sisi ndo wazoefu wa hizi kazi za kupendwa kupitiliza
Amen.Mungu anisaidie nipate mwenye upendo wa kweli nimjali.
Huyo bro ni utopolo sanadunia ina zaidi ya watu billion 7 na zaidi ya nusu ni wanawake, mwanamke mmoja tu anatoa roho ya MTU. Bro wako ana matatizo ya afya ya akili si bure!
Hapana
kwa nini huwa mnawatisha watu hivi?Pamoja na hayo huyo mwanamke asifikiri alikoenda ndio atapata pumziko. Kibaya cha Halfan kizuri cha kitwana na kizuri cha kitwana kibaya cha halfani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nimependa uandishi wako aisee. Matumizi yako ya koma, nukta na aya yapo vizuri.Moja ya vitu ambavyo tunavyo baadhi ya wanaume ni kuwachukulia poa wale wanawake wanoonyesha kutupenda kupitiliza, unakuta una mwanamke anakujali mnyeyekevu anakuheshimu alafu unamchukulia poa poa tu wengine tunawanyanyasa tukijua hawana kimbilio sababu ya kuvutiwa na sisi kimapenzi hivyo tunawachukulia kimasihara
My friend siku mwanamke akikuchoka huwa anakuchoka kweli kweli na akigeuza shingo huwa ni mazima kama kashakuvumilia vya kutosha ,akichoka manyanyaso huwa anachoka kweli, ukibahatika kumpata mwanamke mnyeyekevu msikivu anayekujali yaani onyesha kumjalizaidi na kumpenda my friend hawa wanawake wastaharabu wamebaki wachache sana, ukimpata jua umepata dhahabu ndani, wengi walishasombwa na maafuriko kipindi cha mwinyi kwa sasa hawapo wengi wamenaki wachache.
Nayaongea haya sababu kaka yangu kalazwa now siku ya pili presha imepanda, alipata mwanamke mzuri mpolee aliyempenda kupitiliza akamuowa kabisa, yule dada alikuwa anaupendo wa ajabu ukweni , anapendwa ukweni hadi leo, sababu ya tabia zake tu
Ila brother akawa anamchukulia poa anamnyanyasa ,anampiga kesi zikawa zinaletwa hom mara kwa mara , binti akawa anavumilia tu mwaka na miezi sita, sasa juzi bro karudi hom kakuta mkewe kabeba vitu vyake vyote kaondoka kutafutwa kwenye sim anapokea mwanaume anasema muhusika hayupo asisumbuliwe
Kaka kupata hizo habari nusu tumpoteze tumbo la kuhara lilimbana hapo hapo majirani ndio wamemkimbiza hospitali juzi, kufika Bp juu kakata kauli kaaza kuongea jioni ya jana, kachungulia kaburi yani
Saaa kumbe mwanamke alikuwa anampenda kwanini amnyanyase?
Ile comment uli edit mkuu? Hiki sicho ulichoandika mwanzo.ivi unawezaje kuanguka presha kisa mwanamke?????wanaume tunatofautiana sana
changia mada usianze mipasho jamani tunaaribu sana jamvi letu hili wadauBrother wako ni poyoyo
hawa wenzetu usidhani hawatongozwi jamani wengine tulishakutana nayo hayo sana tu jaman,mtu anakwambia nina mtu wangu hata wiki haijaisha jiulize wakati uko nae mlikuwa wawili au pekeyako??nadhani ni kuwa watulivu na tusiwafanye wajinga sanaYan kaachwa siku 1tu tayar ana bwana..hahaha huyo alikuepo kitambo....kiufup instincts za bro wako zilikua za kwel kuwa anachapiwa...
So kiufup...Tushapata hao wanawake wanaotupenda na tumewaaacha na maisha burdan kabisa yanasonga..cha muhimu usiwekeze sana kwenye mapenz mkuu.wekeza mahala patakapo kuja kukupa faraja..hao hawatabirik...
muda mwingne anaweza asiwe kweli bwanawake lakini mtu anapangwa mjini hapa jamani,ukimtafuta mtu ukamwambia 50k hii hapa fanya moja 2 na 3 aahh mtu anaigiza kabisa...Inaelekea Huyo Shemeji yako naye alikuwa Mapepe!
Kutoka tu Kwa Kaka yako moja kwa moja kwa Bwana Mwingine?
Huyo alikuwa anafanya Madudu akiwa Bado na Kaka yako!
Muambie Kaka yako atulize Ball na aendelee na Maisha take..
Na Huyo Mchepukaji Luna Simu atarudi tu Mwenyewe...!![emoji848]
Unajipea matumaini ata wewe ikitokea utakufwa tutakuja tbt kuzika🤣🤣🤣Brother wako ni poyoyo