Ukimpata mwanamke anayekupenda usimletee masihara utakuja kumlilia siku akibadilika

Ukimpata mwanamke anayekupenda usimletee masihara utakuja kumlilia siku akibadilika

Moja ya vitu ambavyo tunavyo baadhi ya wanaume ni kuwachukulia poa wale wanawake wanoonyesha kutupenda kupitiliza, unakuta una mwanamke anakujali mnyeyekevu anakuheshimu alafu unamchukulia poa poa tu wengine tunawanyanyasa tukijua hawana kimbilio sababu ya kuvutiwa na sisi kimapenzi hivyo tunawachukulia kimasihara

My friend siku mwanamke akikuchoka huwa anakuchoka kweli kweli na akigeuza shingo huwa ni mazima kama kashakuvumilia vya kutosha ,akichoka manyanyaso huwa anachoka kweli, ukibahatika kumpata mwanamke mnyeyekevu msikivu anayekujali yaani onyesha kumjalizaidi na kumpenda my friend hawa wanawake wastaharabu wamebaki wachache sana, ukimpata jua umepata dhahabu ndani, wengi walishasombwa na maafuriko kipindi cha mwinyi kwa sasa hawapo wengi wamenaki wachache.

Nayaongea haya sababu kaka yangu kalazwa now siku ya pili presha imepanda, alipata mwanamke mzuri mpolee aliyempenda kupitiliza akamuowa kabisa, yule dada alikuwa anaupendo wa ajabu ukweni , anapendwa ukweni hadi leo, sababu ya tabia zake tu

Ila brother akawa anamchukulia poa anamnyanyasa ,anampiga kesi zikawa zinaletwa hom mara kwa mara , binti akawa anavumilia tu mwaka na miezi sita, sasa juzi bro karudi hom kakuta mkewe kabeba vitu vyake vyote kaondoka kutafutwa kwenye sim anapokea mwanaume anasema muhusika hayupo asisumbuliwe

Kaka kupata hizo habari nusu tumpoteze tumbo la kuhara lilimbana hapo hapo majirani ndio wamemkimbiza hospitali juzi, kufika Bp juu kakata kauli kaaza kuongea jioni ya jana, kachungulia kaburi yani

Saaa kumbe mwanamke alikuwa anampenda kwanini amnyanyase?
Mi nimependa uandishi wako aisee. Matumizi yako ya koma, nukta na aya yapo vizuri.
 
Yan kaachwa siku 1tu tayar ana bwana..hahaha huyo alikuepo kitambo....kiufup instincts za bro wako zilikua za kwel kuwa anachapiwa...

So kiufup...Tushapata hao wanawake wanaotupenda na tumewaaacha na maisha burdan kabisa yanasonga..cha muhimu usiwekeze sana kwenye mapenz mkuu.wekeza mahala patakapo kuja kukupa faraja..hao hawatabirik...
 
...Inaelekea Huyo Shemeji yako naye alikuwa Mapepe!
Kutoka tu Kwa Kaka yako moja kwa moja kwa Bwana Mwingine?
Huyo alikuwa anafanya Madudu akiwa Bado na Kaka yako!
Muambie Kaka yako atulize Ball na aendelee na Maisha take..
Na Huyo Mchepukaji Luna Simu atarudi tu Mwenyewe...!![emoji848]
 
Yan kaachwa siku 1tu tayar ana bwana..hahaha huyo alikuepo kitambo....kiufup instincts za bro wako zilikua za kwel kuwa anachapiwa...

So kiufup...Tushapata hao wanawake wanaotupenda na tumewaaacha na maisha burdan kabisa yanasonga..cha muhimu usiwekeze sana kwenye mapenz mkuu.wekeza mahala patakapo kuja kukupa faraja..hao hawatabirik...
hawa wenzetu usidhani hawatongozwi jamani wengine tulishakutana nayo hayo sana tu jaman,mtu anakwambia nina mtu wangu hata wiki haijaisha jiulize wakati uko nae mlikuwa wawili au pekeyako??nadhani ni kuwa watulivu na tusiwafanye wajinga sana
 
...Inaelekea Huyo Shemeji yako naye alikuwa Mapepe!
Kutoka tu Kwa Kaka yako moja kwa moja kwa Bwana Mwingine?
Huyo alikuwa anafanya Madudu akiwa Bado na Kaka yako!
Muambie Kaka yako atulize Ball na aendelee na Maisha take..
Na Huyo Mchepukaji Luna Simu atarudi tu Mwenyewe...!![emoji848]
muda mwingne anaweza asiwe kweli bwanawake lakini mtu anapangwa mjini hapa jamani,ukimtafuta mtu ukamwambia 50k hii hapa fanya moja 2 na 3 aahh mtu anaigiza kabisa
 
tusiwafanye wenzetu wajinga iwe kwenye mahusiano au ndoa nao wanatongozwa na wengi tu ila ukitaka kuyajua hayo yote basi ni kujitahdi kumtibua akili tu inatosha
 
Back
Top Bottom