Ukimpata mwanamke anayekupenda usimletee masihara utakuja kumlilia siku akibadilika

Ukimpata mwanamke anayekupenda usimletee masihara utakuja kumlilia siku akibadilika

Yan kaachwa siku 1tu tayar ana bwana..hahaha huyo alikuepo kitambo....kiufup instincts za bro wako zilikua za kwel kuwa anachapiwa...

So kiufup...Tushapata hao wanawake wanaotupenda na tumewaaacha na maisha burdan kabisa yanasonga..cha muhimu usiwekeze sana kwenye mapenz mkuu.wekeza mahala patakapo kuja kukupa faraja..hao hawatabirik...
👏👏👏
 
Bwana wee hii ishanikumba,,
Kuna binti alinipenda sana kupitiliza,,,alionyesha kunijali,,,ananipigia na meseji za kila mara,,mi kidume nikawa namlingia ivi,,,,sasa baadae mawasiliano ya binti yakapungua,,,nikawa sioni tena kujali kwake eee bwana ee roho yangu ndo ikaanza kumpenda sasa.....ile namfata kumuuliza vipi mbona siku izi umebadilika,,?,,,, alinijibu ivi (Nilikupenda ila wewe hukuona thamani ya upendo wangu,,,Kwasasa umechelewa),,,,DAH IDUME NILIUMIA SANA,,,mpaka sasa Maumivu yamegeukia kwangu,,,,nikimtext Hajibu,,,nikimfata kumuongelesha Kanuna,;,,KIUKWELI NIMEJIFUNZA KITU...SITORUDIA KUIGNORE UPENDO WA BINTI YOYOTE
 
Bwana wee hii ishanikumba,,
Kuna binti alinipenda sana kupitiliza,,,alionyesha kunijali,,,ananipigia na meseji za kila mara,,mi kidume nikawa namlingia ivi,,,,sasa baadae mawasiliano ya binti yakapungua,,,nikawa sioni tena kujali kwake eee bwana ee roho yangu ndo ikaanza kumpenda sasa.....ile namfata kumuuliza vipi mbona siku izi umebadilika,,?,,,, alinijibu ivi (Nilikupenda ila wewe hukuona thamani ya upendo wangu,,,Kwasasa umechelewa),,,,DAH IDUME NILIUMIA SANA,,,mpaka sasa Maumivu yamegeukia kwangu,,,,nikimtext Hajibu,,,nikimfata kumuongelesha Kanuna,;,,KIUKWELI NIMEJIFUNZA KITU...SITORUDIA KUIGNORE UPENDO WA BINTI YOYOTE
Amen
 
Bwana wee hii ishanikumba,,
Kuna binti alinipenda sana kupitiliza,,,alionyesha kunijali,,,ananipigia na meseji za kila mara,,mi kidume nikawa namlingia ivi,,,,sasa baadae mawasiliano ya binti yakapungua,,,nikawa sioni tena kujali kwake eee bwana ee roho yangu ndo ikaanza kumpenda sasa.....ile namfata kumuuliza vipi mbona siku izi umebadilika,,?,,,, alinijibu ivi (Nilikupenda ila wewe hukuona thamani ya upendo wangu,,,Kwasasa umechelewa),,,,DAH IDUME NILIUMIA SANA,,,mpaka sasa Maumivu yamegeukia kwangu,,,,nikimtext Hajibu,,,nikimfata kumuongelesha Kanuna,;,,KIUKWELI NIMEJIFUNZA KITU...SITORUDIA KUIGNORE UPENDO WA BINTI YOYOTE
Ulijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂
 
Ulijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂
Huwezi amini sasa ivi
Ulijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂
Uwezi amini sasa ivi nampigia magoti mimi,,,,kwa nyodo nayeye analingia
 
Huyo mwanamke atarudi niamini mm.

Sisi ndo wazoefu wa hizi kazi za kupendwa kupitiliza

[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji12][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1732]
 
Back
Top Bottom