hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Naam Raha ya mapenzi upendwe wewe sio wewe upende ukipenda wewe utakomaUkitaka usife mapema oa anayekupenda kuliko kuoa unayempenda ww.
Mwenye hekima ataelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam Raha ya mapenzi upendwe wewe sio wewe upende ukipenda wewe utakomaUkitaka usife mapema oa anayekupenda kuliko kuoa unayempenda ww.
Mwenye hekima ataelewa.
Imagine 😁ivi unawezaje kuanguka presha kisa mwanamke?????wanaume tunatofautiana sana
👏👏👏Yan kaachwa siku 1tu tayar ana bwana..hahaha huyo alikuepo kitambo....kiufup instincts za bro wako zilikua za kwel kuwa anachapiwa...
So kiufup...Tushapata hao wanawake wanaotupenda na tumewaaacha na maisha burdan kabisa yanasonga..cha muhimu usiwekeze sana kwenye mapenz mkuu.wekeza mahala patakapo kuja kukupa faraja..hao hawatabirik...
Ayee😀😀Mi nishakuwa sugu hilo haliwezekani
AmenBwana wee hii ishanikumba,,
Kuna binti alinipenda sana kupitiliza,,,alionyesha kunijali,,,ananipigia na meseji za kila mara,,mi kidume nikawa namlingia ivi,,,,sasa baadae mawasiliano ya binti yakapungua,,,nikawa sioni tena kujali kwake eee bwana ee roho yangu ndo ikaanza kumpenda sasa.....ile namfata kumuuliza vipi mbona siku izi umebadilika,,?,,,, alinijibu ivi (Nilikupenda ila wewe hukuona thamani ya upendo wangu,,,Kwasasa umechelewa),,,,DAH IDUME NILIUMIA SANA,,,mpaka sasa Maumivu yamegeukia kwangu,,,,nikimtext Hajibu,,,nikimfata kumuongelesha Kanuna,;,,KIUKWELI NIMEJIFUNZA KITU...SITORUDIA KUIGNORE UPENDO WA BINTI YOYOTE
Ulijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂Bwana wee hii ishanikumba,,
Kuna binti alinipenda sana kupitiliza,,,alionyesha kunijali,,,ananipigia na meseji za kila mara,,mi kidume nikawa namlingia ivi,,,,sasa baadae mawasiliano ya binti yakapungua,,,nikawa sioni tena kujali kwake eee bwana ee roho yangu ndo ikaanza kumpenda sasa.....ile namfata kumuuliza vipi mbona siku izi umebadilika,,?,,,, alinijibu ivi (Nilikupenda ila wewe hukuona thamani ya upendo wangu,,,Kwasasa umechelewa),,,,DAH IDUME NILIUMIA SANA,,,mpaka sasa Maumivu yamegeukia kwangu,,,,nikimtext Hajibu,,,nikimfata kumuongelesha Kanuna,;,,KIUKWELI NIMEJIFUNZA KITU...SITORUDIA KUIGNORE UPENDO WA BINTI YOYOTE
NakaziaUlijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂
[emoji848][emoji848]Ulijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona[emoji23]
Nishakuwa mtumwa kwake...wakati alinipenda mwenyewe....Ulijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂
Amen
Acha umbeaWaambie
Sali sana maana kumpata huwaga ni ngumuinauma sana,,,,, sasa Ivi binti atayenipenda mwenyw,,,,,hata kama sitakuwa na hisia nae....nitajitahidi nimpende ivyo ivyo....maana nishapata Somo
Huwezi amini sasa iviUlijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂
Uwezi amini sasa ivi nampigia magoti mimi,,,,kwa nyodo nayeye analingiaUlijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona😂
Dah pole sanaHuwezi amini sasa ivi
Uwezi amini sasa ivi nampigia magoti mimi,,,,kwa nyodo nayeye analingia
😂😂😂😂😂Huwezi amini sasa ivi
Uwezi amini sasa ivi nampigia magoti mimi,,,,kwa nyodo nayeye analingia
Kinachoniumiza wakati ananipenda...mi sikuwa na hisia nae,,,wakati ame give up...ndo najigundua kumbe nampenda...dah😂😂😂😂
Ndivyo inavyokuaga lakini poleKinachoniumiza wakati ananipenda...mi sikuwa na hisia nae,,,wakati ame give up...ndo najigundua kumbe nampenda...dah
Huyo mwanamke atarudi niamini mm.
Sisi ndo wazoefu wa hizi kazi za kupendwa kupitiliza
[emoji3][emoji3][emoji3]Pole ndoilivyoKinachoniumiza wakati ananipenda...mi sikuwa na hisia nae,,,wakati ame give up...ndo najigundua kumbe nampenda...dah