Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Na Wakiamua kuondoka, kurudi ni ngumu sanaSali sana maana kumpata huwaga ni ngumu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Wakiamua kuondoka, kurudi ni ngumu sanaSali sana maana kumpata huwaga ni ngumu
Wewe!!!Inakuwaje leo kila ninachotaka kujibu hapa tayari umeshajibu?[emoji2][emoji2]Ndivyo inavyokuaga lakini pole
Siyo rahisi namna hiyo Mkuu...Mwanamke anaekupenda akibadilika unaachana nae unatafuta mwingine anaekupenda. usikubali mtu mwingine akufanye uishi maisha ya tabu.
Ni ngumu na hivi alikuwa anapendwa akawa anazingua..
Sijui mambo ya jeshi mkuu, ila acha kutumia mateso kama njia ya kufundisha/kulea kisa mtoto ni jinsia ya kiume..... usituletee watoto watukutu sisi walimu mshahara wetu mdogo asanteJeshini wanatesa?
Namaanisha kuwajengea ujasiri sio kuwatesa.Sijui mambo ya jeshi mkuu, ila acha kutumia mateso kama njia ya kufundisha/kulea kisa mtoto ni jinsia ya kiume..... usituletee watoto watukutu sisi walimu mshahara wetu mdogo asante
Weka wazi hizo mbinu nielewe labda sijakuelewa vizuri.Namaanisha kuwajengea ujasiri sio kuwatesa.
Kuwaandaa kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za dunia hii kimwili,kiroho na kiakili.Weka wazi hizo mbinu nielewe labda sijakuelewa vizuri.
Namaanisha utafanyaje ili aweze kuwa na huo ujasiri wa kukabiliana na majanga kama hayo.Kuwaandaa kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za dunia hii kimwili,kiroho na kiakili.
Usiseme sio rahisi yawezekana unaloliona gumu wewe kwa mwingine ni kugusa tu. Labda umuombe akupe mbinuSiyo rahisi namna hiyo Mkuu...
KIROHO-Kuwafundisha ukweli kuhusu Mungu na kusudi la kuumbwa kwao ikiwemo thamani walio nayo mbele zakeNamaanisha utafanyaje ili aweze kuwa na huo ujasiri wa kukabiliana na majanga kama hayo.
😂😂😂😂😂Wewe!!!Inakuwaje leo kila ninachotaka kujibu hapa tayari umeshajibu?[emoji2][emoji2]
Sawa kabisa.na wewe acha ukudaAcha umbea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji481][emoji481][emoji481] ila mapenzi bwanaUlijona shababi eh! Wanawake ni viumbe delicate ukimnyanyasa akikaa akapiga akili kuwa hayupo sehem sahihi anakuhama tu na hapo amna rangi utaacha kuziona[emoji23]
Miss you.. Upo jamani?Sawa kabisa.na wewe acha ukuda
Sasa na mwenzie mapenzi yatakua yameisha ajiondokee tuNi ngumu na hivi alikuwa anapendwa akawa anazingua..
Kwa kweli.. Upendo haupo tena.Sasa na mwenzie mapenzi yatakua yameisha ajiondokee tu
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app