Tatizo letu ni kuwa tunatumiwa na hatujui kuwa tunatumiwa, tunaweza kuongopewa jambo na hatuwezi kulitafakari nini athari za jambo hilo, badala yake tunalitenda kwa kutuletea manufaa machache kwa mtu binafsi au kundi la watu, hatimaye tunakwenda kuharibu taifa zima.