Lissu Anahojiwa na media kubwa kama BBC, DW, Al Jazeera n. KIla nilichokiona leo ni kuwa Mbowe ana nguvu sana embu fikiria mtu anavunja kipindi kizima cha michezo cha dakika 60 tena cha media kama clouds.
Hili limenifikirisha sana
Ni aibu kubwa sana kwake ku-dialogue na Lissu. Wewe utakubali kufanya mdahalo na mtoto wa chekechea, eti mnajadili kuhusu uchumi wa nchi wewe wewe ni proponent na mtoto ni opponent, kweli, si aibu tupu?!Mbona Sultan amekwepa mdahalo na Lissu?
Kama kweli hakuna mkubwa kuliko CHADEMA mwambieni aachie madaraka
Freeman Aikael Mbowe alishavuka hatua za uanaharakati. Ni mwanasiasa aliyeiva. Ana kipaji na haiba ya kuongoza nchi tena kwa siasa za kistaarabu na weledi mkubwa. Kumshindanisha Mbowe na Lissu ni makosa makubwa! https://www.jamiiforums.com/data/video/5924/5924214-d7f6d74c3b617dc13d0919f850576eeb.mp4
Ni aibu kubwa sana kwake ku-dialogue na Lissu. Wewe utakubali kufanya mdahalo na mtoto wa chekechea, eti mnajadili kuhusu uchumi wa nchi wewe wewe ni proponent na mtoto ni opponent, kweli, si aibu tupu?!
Si unalopia broooo, sio hivyo nenda hapo jo mnambisha bil usd kama hautaongea siku zika, usicheze na shekeli. La pili unaijua mawingu? Ni cover ya qatafuta mauaIla nilichokiona leo ni kuwa Mbowe ana nguvu sana embu fikiria mtu anavunja kipindi kizima cha michezo cha dakika 60 tena cha media kama clouds.
Hili limenifikirisha sana
Umeshindwa kuelewa jambo la msingi, uchaguzi huu ni mkubwa sana hivyo kila mgombea anasikilizwa kwa ukaribu na umakini.Ila nilichokiona leo ni kuwa Mbowe ana nguvu sana embu fikiria mtu anavunja kipindi kizima cha michezo cha dakika 60 tena cha media kama clouds.
Hili limenifikirisha sana
Mbowe yuko juu sana,Lissu ni mpiga domo tu.Freeman Aikael Mbowe alishavuka hatua za uanaharakati. Ni mwanasiasa aliyeiva. Ana kipaji na haiba ya kuongoza nchi tena kwa siasa za kistaarabu na weledi mkubwa. Kumshindanisha Mbowe na Lissu ni makosa makubwa! https://www.jamiiforums.com/data/video/5924/5924214-d7f6d74c3b617dc13d0919f850576eeb.mp4
Wamachame bhna 🤣Mbowe yuko juu sana,Lissu ni mpiga domo tu.
Mwl Nyerere kaanza mwaka 1954 mpaka 1985.
Absolutely, hatuwezi kuongozwa na mtu ana risasi mwilini!! Huwezi kujuwa hiyo risasi inaathiri kiasi gani afya ya ubongo wake
Umenikumbusha hadithi ya Punda na YESU wakiingia jijini na kupokelewa na umati mkubwa wa watu wakimshangilia.Ila nilichokiona leo ni kuwa Mbowe ana nguvu sana embu fikiria mtu anavunja kipindi kizima cha michezo cha dakika 60 tena cha media kama clouds.
Hili limenifikirisha sana
Kipaji cha haiba nini maana yake?Freeman Aikael Mbowe alishavuka hatua za uanaharakati. Ni mwanasiasa aliyeiva. Ana kipaji na haiba ya kuongoza nchi tena kwa siasa za kistaarabu na weledi mkubwa. Kumshindanisha Mbowe na Lissu ni makosa makubwa! https://www.jamiiforums.com/data/video/5924/5924214-d7f6d74c3b617dc13d0919f850576eeb.mp4
Mwambieni aje kwenye mdahalo.Lissu mropokaji unafikiri anaweza kuingia kwenye diplomatic dialogue na Freeman Mbowe?
Mwl Nyerere kaanza mwaka 1954 mpaka 1985.
Lissu akili kubwa sana, Mbowe hawezi hata siku moja kukubali mdahalo na LissuLissu mropokaji unafikiri anaweza kuingia kwenye diplomatic dialogue na Freeman Mbowe?
Looo! Are you serious.?.Freeman Aikael Mbowe alishavuka hatua za uanaharakati. Ni mwanasiasa aliyeiva. Ana kipaji na haiba ya kuongoza nchi tena kwa siasa za kistaarabu na weledi mkubwa. Kumshindanisha Mbowe na Lissu ni makosa makubwa! https://www.jamiiforums.com/data/video/5924/5924214-d7f6d74c3b617dc13d0919f850576eeb.mp4
Labda walete maiti ya Mbowe kwenye mdahaloMwambieni aje kwenye mdahalao.
Gharama imelipwa na bonus juuIla nilichokiona leo ni kuwa Mbowe ana nguvu sana embu fikiria mtu anavunja kipindi kizima cha michezo cha dakika 60 tena cha media kama clouds.
Hili limenifikirisha sana