Ukimsikiliza vizuri Lt Urio hii kesi ya Mbowe ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi. Urio aliombwa kusaidia CHADEMA kutwaa madaraka Wananchi wasiteseke

Ukimsikiliza vizuri Lt Urio hii kesi ya Mbowe ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi. Urio aliombwa kusaidia CHADEMA kutwaa madaraka Wananchi wasiteseke

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi.

Kutwaa madaraka kinyume cha katiba ya JMT kwa kutumia wanajeshi ni uhaini.

Urio anakiri Mbowe aliomba msaada wake ili CHADEMA itwae madaraka wananchi wasiendelee kuishi kwa mateso na unyonge.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi...

Mashitaka yageuzwe geuzwe kama samaki kwenye kikaango.

Lakini, shida Lt. Urio, amekuja na maneno matupu. Je kwa elimu waliyonayo pamoja na DCI +wapelelezi wote waliohusishwa, vifaa vyote walivyonavyo pamoja na teknolojia iliyopo. Walishindwa kupata any substance inayoyapa maelezo yao nguvu??
Kweli kweli??
Hapo ndo mashaka juu yao yanapoongezeka.

Pia, unafunguaje jarada kabla hata watu wa kwenda kwa Mbowe hawajapatikana??
Haohao vijana, mahakama inashuhudiwa kuwa walidanganywa juu ya aina ya kazi means they are innocent. Je umewashikiria kwa kosa lipi?

Nadhani wao kwa sasa wana makosa ya kikazi kuliko hata huyo gaidi kama ingekuwa nchi serious. Wamefanya uzembe mkubwa kazini na wengine ni qualified kupambana na ugaidi. Unataka kumfunga mtu kwa kusema" mda umekwisha"???
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi...
Kwa hiyo Mbowe, alitaka kuipindua Nchi hii, kwa kusaidiwa na huyo Urio?

Hivi, hata Mzee Mgaya anaamini hivyo? Ndugu zangu, tusiwe tunajiumiza vichwa kwa kuwaza mambo ambayo, hata nafsini mwetu hatuamini kuwa yanawezekana!
 
Urio anapata intelligence informations kuwa Mh.Mbowe anataka kupindua nchi na urio (mwanajeshi wa TPDF)akiwa ni Lt.(officer)anakimbilia kwa DCI(Director of crime investigations)kutoa taarifa hii bila ya urio kupeleka kwa CO wake au MI!!hii kwangu ni kama igizo la tamthiria ,na middle class wa JF wanaona kabisa urio alikua yupo right kufanya alichokifanya!mimi ningekua ni Chief of Staff wa TPDF leo hii urio angekua ameshavuliwa cheo kile na angekua yupo mahakama ya kijeshi kujibia hili kwanza.
 
Kwa hiyo Mbowe, alitaka kuipindua Nchi hii, kwa kusaidiwa na huyo Urio?
Hivi, hata Mzee Mgaya anaamini hivyo? Ndugu zangu, tusiwe tunajiumiza vichwa kwa kuwaza mambo ambayo, hata nafsini mwetu hatuamini kuwa yanawezekana!
Najikuta nashikwa na hasira eti makomandoo 3 au 4 dhidi ya maelfu ya askari mahiri wa JWTZ na wengine ... Halafu dunia nzima iamini
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi.

Kutwaa madaraka kinyume cha katiba ya JMT kwa kutumia wanajeshi ni uhaini.

Urio anakiri Mbowe aliomba msaada wake ili CHADEMA itwae madaraka wananchi wasiendelee kuishi kwa mateso na unyonge.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
mimi sijaona uhaini bali ni mbambikizo ya kesi
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi.

Kutwaa madaraka kinyume cha katiba ya JMT kwa kutumia wanajeshi ni uhaini.

Urio anakiri Mbowe aliomba msaada wake ili CHADEMA itwae madaraka wananchi wasiendelee kuishi kwa mateso na unyonge.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Uhaini tena!!

Kwani ilipangwa kumpindua Rais aliyepo madarakani?
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi.

Kutwaa madaraka kinyume cha katiba ya JMT kwa kutumia wanajeshi ni uhaini.

Urio anakiri Mbowe aliomba msaada wake ili CHADEMA itwae madaraka wananchi wasiendelee kuishi kwa mateso na unyonge.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!

Nadhani Urio alisema Mbowe alimwambia uchaguzi unakaribia tunataka tuchukue dola. Inamaana kujiandaa na uchaguzi na sio uhaini, ingekuwa mwaka tofauti na 2020 na akaombwa wanajeshi walioko kazini hapo uhaini ungeingia.

Unawezaje kutenda uhaini kipindi Cha uchaguzi?. Yani usubiri 2020 mwaka wa uchaguzi ndio utende uhaini. Na uhaini wenyewe ni kudhuru Viongozi na kukata miti nchi nzima. Ushahidi wa Urio umejichanganya Sana.
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi.

Kutwaa madaraka kinyume cha katiba ya JMT kwa kutumia wanajeshi ni uhaini.

Urio anakiri Mbowe aliomba msaada wake ili CHADEMA itwae madaraka wananchi wasiendelee kuishi kwa mateso na unyonge.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hayo Madai ya Urio atayathibitisha kwa ushahidi upi?
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi.

Kutwaa madaraka kinyume cha katiba ya JMT kwa kutumia wanajeshi ni uhaini.

Urio anakiri Mbowe aliomba msaada wake ili CHADEMA itwae madaraka wananchi wasiendelee kuishi kwa mateso na unyonge.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Jua kwamba kipindi urio anadai ni wakati nchi inaenda kwenye uchaguzi na chadema walisimamisha wagombea kila kona ya nchi.
Kama kutwaa madaraka kwa nguvu ni uhaini basi Magu alipaswa kushtakiwa kwa uhaini maana alipora mchakato wa uchaguzi kinguvu.
Hakuwa chaguzi la wananchi mwaka 2020 ndio maana Mungu aliingilia kati kumtenga nasi.
 
Back
Top Bottom