Ukimsikiliza vizuri Lt Urio hii kesi ya Mbowe ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi. Urio aliombwa kusaidia CHADEMA kutwaa madaraka Wananchi wasiteseke

Ukimsikiliza vizuri Lt Urio hii kesi ya Mbowe ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi. Urio aliombwa kusaidia CHADEMA kutwaa madaraka Wananchi wasiteseke

Chifu Hangaya na Sirro wanajisikiaje kwa ushahidi huu uliowasilishwa mahakamani
WAO WANAONA SAWA PAMOJA NA UHARIBIFU WA PESA YA UMMA WALIOFANYA KUPITIA KESI HII YA KIPUMBAVU PUMBAVU, LENGO NI KUPIGA PESA ZA WANANCHI NA SIFA ZA MAIGIZO...ambapo mbele ya watanzania na dunia wameonekana ni wapumbavu na mishenzi shenzi tu
 
Kama utafuatilia kwa makini maelezo ya lt Urio utagundua kesi hii ya Mbowe na makomandoo wa JWTZ ( wastaafu) ilipaswa kuwa ya Uhaini siyo Ugaidi.

Kutwaa madaraka kinyume cha katiba ya JMT kwa kutumia wanajeshi ni uhaini.

Urio anakiri Mbowe aliomba msaada wake ili CHADEMA itwae madaraka wananchi wasiendelee kuishi kwa mateso na unyonge.

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Hata nami nilifikiri hivyo kama kuna dalili za kushawishiana uasi kwanini tena iwe ya uhujumu au ugaidi? Tofauti ndogo sana na ya kina Maghee
 
Kama umewasikiliza kwa makini mashahidi wawili muhimu sana kwenye kesi ya Freeman Mbowe na makomandoo ambao ni Urio na Swilla utagundua makomandoo hawana makosa wala hawajatenda kosa lolote

Na hata Freeman Mbowe haonekani kama aliwatumia makomandoo kutaka kuvunja sheria za nchi zaidi ya kupatiwa ulinzi.

Tulipofikia ni pagumu sana kuamua Mbowe ana kesi ya kujibu kwa sababu connection kwa watuhumiwa wote wanne kuwa na mpango mmoja imeshindikana kujithibitisha.

Maendeleo hayana vyama.

Mungu wa mbinguni awabariki nyote!

RIP wakili msomi Sengodo Mvungi PhD.
Kama jaji akiamua kwa matakwa ya aliyemtuma basi dunia itamshangaa,
Hakuna mahali mbowe alimtuma mtu kufanya vitendo vya kigaidi
 
Back
Top Bottom