Ukimtoa Mzee Kinana Safu ya Sekretariet haikubaliki na hawaijui siasa za wakati huu

Ukimtoa Mzee Kinana Safu ya Sekretariet haikubaliki na hawaijui siasa za wakati huu

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Ukweli usemwe,

Kuanzia katibu mkuu, Naibu, Mwenezi wanaweza kuwa walifanya vizuri kwenye siasa nyakati zao lakini kwa sasa hapana.

Historia inajirudia inanikumbusha Sekretarieti ya Katibu Mkuu Mzee Mkama na hii ya sasa wanafanana sana na hawana tofauti.

Hadi sasa CCM imeingia choo cha kanisani hapo upinzani wakijigawa na kujipanga vyema wanawasambaratisha hawa jamaa mapema sana.

Ukiwasikiliza siasa zao zimepitwa na wakati kabisa sijui itakuaje baadae lakini hapana
 
Chama kimepasuka mkuu.
Dalili zote zinaonesha kuna minyukano ya ndani.
Pia wapo ambao wanafurahia kwamba "ngoja kikamfie sasa"
 
Kweli nchimbi, makala, mongers hawa ndio waijenge ccm!
 
Kumbe maigizo ya Makonda yanawafurahisha wengi Sana.

Unazijuwa kazi za secretariat?
 
Wananchi wanataka maendeleo,siyo drama za kukubalika ama kuto kubalika.
 
Siasa ni sayansi inayobadilikabadilika kulingana na wakati
 
Back
Top Bottom