dah I won't be surprised kuna watu wazee humu ndani sio mchezo. Ila 72 umenipiga kamba hapo itakuwa 27🙂 ukumbuke kuamkia wakubwa zakoAvatar ya kifala fala😂😂, iam 72 yrs
Aisee hii ina kweli hata mm imenikuta ananiambia tuwe marafiki ajabu meseji za mapenzi mara tutoke yaan mpk kuna Rafiki ake mmoja anajua kuwa kama sisi tupo kwenye uhusiano kumbe ndio friend zone nisipompigia simu au kumchunia anaenda kumwambia huyo shoga na shoga ananifata na kuniambia hawa viumbe wana shida kweli 😁 😁 😁Kwa akili ya kiutu uzima.... ukimtongoza mwanamke akikuambi tuwe marafiki maana yake ana mtu wake lakini haoni muelekeo wenye mwisho mzuri baina yao....... kwa hiyo anakuweka karibu ili aweze kuona personality yako na kufanya maamuzi sahihi mbele ya safari.......na utagundua Hilo baada ya kuona kuwa japokuwa ni marafiki mienendo yenu ni kama wapenzi na hata watu wa karibu huwadhania hivyo...... mwanamke kamwe hamuweki karibu mtu asiye na chembe ya hisia naye.........
Huyu Malaya na anatakaa tu hela zako Hana lolotee ni cheche
Sure! naamini kuna siku atajaa kwenye 18 zangu!!Huyo usitongoze, tengeneza mazingira umle kwanza, baada ya kumla,yeye ndo ataomba umtongoze Wewe,
Wanawake walioserius sana ukienda kichwa kichwa kumtongoza anakukataa live na kwa aibu sn, Kisha anakuchukia na uking'ang'ania sn anaweza kukudhalilisha.
Mi mtu mzima bhana 72 yrs, japo napenda magoma ya vijana 😂😂. Kama feel,over Dem, un available, no competition by davido. mshamba_hachekwidah I won't be surprised kuna watu wazee humu ndani sio mchezo. Ila 72 umenipiga kamba hapo itakuwa 27🙂 ukumbuke kuamkia wakubwa zako
haha I am Gru, the master of Minions 🤣
View attachment 2634333
Mambo ya kutumia Nguvu yashapitwa na Wakati,
mwanamke akishakupenda Kwanza hajifichi, anaweweseka mno akikuona.
Huitaji kutumiana Nguvu sn kung'amua hilo
HUWA NAWASHANGAA SN WANAOLAZIMISHA KUPENDWA
Eti unafukuzia jibu mwezi mzima[emoji1787]
Kana kwamba yeye Ni special Sana asipokupenda unakata roho[emoji1787]
Wasukuma tuheshimiwe nyinyi vijikabila viduchu viduchu muwe na heshimaKijana uliyepost inabidi upimwe uanaume wako kwasababu kama ni hivyo itabidi utongoze wanawake wengi sana ambapo pia unaweza usifanikiwe. Enzi za ujinga wangu nilikuwa kama wewe kumbe yule manzi alikuwa ananipenda... ndo siku moja akaniwashia taa ya kijani kwa kuniambia HAPENDI MWANAUME MKATA TAMAA... tulikuja kuwa wapenzi tuliopendana sana kabla ya kutenganishwa na MSUKUMA.
Nataman sana nikujue man nyiw mko each sanaSibembelezi napendwa, wewe hujui unachomaanisha, wewe unamaanisha ngono, sio upendo, urafiki ni Upendo, na nina enjoy every process, bila wasiwasi, tatizo lako wewe utakuwa unangoja ngono, mimi singoji ngono, I enjoy the process
LegendaryNikishamtamani
Namtengenezea mazingira ya kumpata
Na mazingira nnayomtengenezea yanamuweka dilemma sana, ajue namtaka ila asijihakikishie Sana, abaki katikati
Kisha ktk mazingira hayo
namfanya yeye awe ananihitaji Sana Mimi mda mwingi kuliko nnavomhitaji yeye.
Nikishaona ameelewa somo,
Ndo nafata next step ya kumuweka mazingira hatarishi zaidi Ili akaliwe kabisa kimasihara, baada ya kumla ndo tunakaa mezani Sasa.
Na hapo mezani Sasa,
Kwasababu nishamla, Nguvu ya negotiation tayar ninayo Mimi.
Akifikiria tayar keshaliwa, atafanyaje
Basi kila nnalomwambia Ni "NDIO MZEE"
Ha ha ha....[emoji4]Dah jf Kuna mbinu zote za kivita ushindwe wewe
Mazingira gani hayo unayoyatengeneza?Nikishamtamani
Namtengenezea mazingira ya kumpata
Na mazingira nnayomtengenezea yanamuweka dilemma sana, ajue namtaka ila asijihakikishie Sana, abaki katikati
Kisha ktk mazingira hayo
namfanya yeye awe ananihitaji Sana Mimi mda mwingi kuliko nnavomhitaji yeye.
Nikishaona ameelewa somo,
Ndo nafata next step ya kumuweka mazingira hatarishi zaidi Ili akaliwe kabisa kimasihara, baada ya kumla ndo tunakaa mezani Sasa.
Na hapo mezani Sasa,
Kwasababu nishamla, Nguvu ya negotiation tayar ninayo Mimi.
Akifikiria tayar keshaliwa, atafanyaje
Basi kila nnalomwambia Ni "NDIO MZEE"
mbinu zinatafutwa😂Mazingira gani hayo unayoyatengeneza?
Acha nizitafute.mbinu zinatafutwa😂