Ukimtongoza mwanamke na akakuambia muwe marafiki kwanza ujue hapo amekukataa tayari jiongeze achana naye

Ukimtongoza mwanamke na akakuambia muwe marafiki kwanza ujue hapo amekukataa tayari jiongeze achana naye

Avatar ya kifala fala😂😂, iam 72 yrs
dah I won't be surprised kuna watu wazee humu ndani sio mchezo. Ila 72 umenipiga kamba hapo itakuwa 27🙂 ukumbuke kuamkia wakubwa zako


haha I am Gru, the master of Minions 🤣
d5d40af7b7127daaef8800029eebbfb7.jpg
 
Kwa akili ya kiutu uzima.... ukimtongoza mwanamke akikuambi tuwe marafiki maana yake ana mtu wake lakini haoni muelekeo wenye mwisho mzuri baina yao....... kwa hiyo anakuweka karibu ili aweze kuona personality yako na kufanya maamuzi sahihi mbele ya safari.......na utagundua Hilo baada ya kuona kuwa japokuwa ni marafiki mienendo yenu ni kama wapenzi na hata watu wa karibu huwadhania hivyo...... mwanamke kamwe hamuweki karibu mtu asiye na chembe ya hisia naye.........
Aisee hii ina kweli hata mm imenikuta ananiambia tuwe marafiki ajabu meseji za mapenzi mara tutoke yaan mpk kuna Rafiki ake mmoja anajua kuwa kama sisi tupo kwenye uhusiano kumbe ndio friend zone nisipompigia simu au kumchunia anaenda kumwambia huyo shoga na shoga ananifata na kuniambia hawa viumbe wana shida kweli 😁 😁 😁
 
Huyo usitongoze, tengeneza mazingira umle kwanza, baada ya kumla,yeye ndo ataomba umtongoze Wewe,

Wanawake walioserius sana ukienda kichwa kichwa kumtongoza anakukataa live na kwa aibu sn, Kisha anakuchukia na uking'ang'ania sn anaweza kukudhalilisha.
Sure! naamini kuna siku atajaa kwenye 18 zangu!!
Nitamfungulia Uzi hapa siku anajaa kingi.
Namtamani sanaa.
 
dah I won't be surprised kuna watu wazee humu ndani sio mchezo. Ila 72 umenipiga kamba hapo itakuwa 27🙂 ukumbuke kuamkia wakubwa zako


haha I am Gru, the master of Minions 🤣
View attachment 2634333
Mi mtu mzima bhana 72 yrs, japo napenda magoma ya vijana 😂😂. Kama feel,over Dem, un available, no competition by davido. mshamba_hachekwi
 
Mambo ya kutumia Nguvu yashapitwa na Wakati,

mwanamke akishakupenda Kwanza hajifichi, anaweweseka mno akikuona.

Huitaji kutumiana Nguvu sn kung'amua hilo

HUWA NAWASHANGAA SN WANAOLAZIMISHA KUPENDWA

Eti unafukuzia jibu mwezi mzima[emoji1787]

Kana kwamba yeye Ni special Sana asipokupenda unakata roho[emoji1787]

Jeuri ya pesa hiyo wasio nazo wanafukuzia mwaka mzima [emoji23][emoji1787]
 
Kijana uliyepost inabidi upimwe uanaume wako kwasababu kama ni hivyo itabidi utongoze wanawake wengi sana ambapo pia unaweza usifanikiwe. Enzi za ujinga wangu nilikuwa kama wewe kumbe yule manzi alikuwa ananipenda... ndo siku moja akaniwashia taa ya kijani kwa kuniambia HAPENDI MWANAUME MKATA TAMAA... tulikuja kuwa wapenzi tuliopendana sana kabla ya kutenganishwa na MSUKUMA.
Wasukuma tuheshimiwe nyinyi vijikabila viduchu viduchu muwe na heshima
 
Wanawake wa dizain hiyo hata sio wastaarabu wala kusema eti wapole, hapana wengi wao ni malaya kwa uzoefu wangu. Wanatumia neno tuwe marafiki kwanza kukuaminisha kuwa wana maadili sijui mfahamiane vizuri na upuuzi kama huo lakini kiuhalisia unakuta ana mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja na wewe anakuweka kwenye waiting list. Ukikutana na demu wa dizain hii kimbia kama umempenda kweli ila kama una moyo wa kufeki ishi nae mda utafika utapewa na wewe utamu.
 
Sibembelezi napendwa, wewe hujui unachomaanisha, wewe unamaanisha ngono, sio upendo, urafiki ni Upendo, na nina enjoy every process, bila wasiwasi, tatizo lako wewe utakuwa unangoja ngono, mimi singoji ngono, I enjoy the process
Nataman sana nikujue man nyiw mko each sana
 
Haya mambo hayana formula mkuu, mi ilishanitokea Kuna manzi nilisaundisha aknijibu oooh napenda tuwe marafiki tu ,nikasema poa Haina shida, kweli tukaendelea kuwa marafiki akiwa na shida kama nina uwezo wa kumsaidia namsaidia siku zikasonga ikapita kama miezi minne hivi akaanza mala alete msosi gheto, mala alete zawadi mala aje kupika gheto, siku ya siku nimelala zangu alfajiri ya saa kumi na moja naona anapiga cm ananiambia nifungulie mlango nipo nje nikamuuliza mbona mapema sana akasema amenimiss mala naona mtu anatoa nguo anakuja kitandani, Sasa imebaki story nikwamba tunanyanduana mpaka Sasa .
 
Nikishamtamani
Namtengenezea mazingira ya kumpata

Na mazingira nnayomtengenezea yanamuweka dilemma sana, ajue namtaka ila asijihakikishie Sana, abaki katikati

Kisha ktk mazingira hayo
namfanya yeye awe ananihitaji Sana Mimi mda mwingi kuliko nnavomhitaji yeye.

Nikishaona ameelewa somo,

Ndo nafata next step ya kumuweka mazingira hatarishi zaidi Ili akaliwe kabisa kimasihara, baada ya kumla ndo tunakaa mezani Sasa.

Na hapo mezani Sasa,
Kwasababu nishamla, Nguvu ya negotiation tayar ninayo Mimi.

Akifikiria tayar keshaliwa, atafanyaje
Basi kila nnalomwambia Ni "NDIO MZEE"
Legendary
 
Nikishamtamani
Namtengenezea mazingira ya kumpata

Na mazingira nnayomtengenezea yanamuweka dilemma sana, ajue namtaka ila asijihakikishie Sana, abaki katikati

Kisha ktk mazingira hayo
namfanya yeye awe ananihitaji Sana Mimi mda mwingi kuliko nnavomhitaji yeye.

Nikishaona ameelewa somo,

Ndo nafata next step ya kumuweka mazingira hatarishi zaidi Ili akaliwe kabisa kimasihara, baada ya kumla ndo tunakaa mezani Sasa.

Na hapo mezani Sasa,
Kwasababu nishamla, Nguvu ya negotiation tayar ninayo Mimi.

Akifikiria tayar keshaliwa, atafanyaje
Basi kila nnalomwambia Ni "NDIO MZEE"
Mazingira gani hayo unayoyatengeneza?
 
Back
Top Bottom