Nikishamtamani
Namtengenezea mazingira ya kumpata
Na mazingira nnayomtengenezea yanamuweka dilemma sana, ajue namtaka ila asijihakikishie Sana, abaki katikati
Kisha ktk mazingira hayo
namfanya yeye awe ananihitaji Sana Mimi mda mwingi kuliko nnavomhitaji yeye.
Nikishaona ameelewa somo,
Ndo nafata next step ya kumuweka mazingira hatarishi zaidi Ili akaliwe kabisa kimasihara, baada ya kumla ndo tunakaa mezani Sasa.
Na hapo mezani Sasa,
Kwasababu nishamla, Nguvu ya negotiation tayar ninayo Mimi.
Akifikiria tayar keshaliwa, atafanyaje
Basi kila nnalomwambia Ni "NDIO MZEE"