Ukimtongoza mwanamke na akakuambia muwe marafiki kwanza ujue hapo amekukataa tayari jiongeze achana naye

Ukimtongoza mwanamke na akakuambia muwe marafiki kwanza ujue hapo amekukataa tayari jiongeze achana naye

Zaid Zaid nikiwa na mashaka nae sn
Ntafanya nimle Kwanza afu kumtongoza kutafata baada ya kulalana tuzingumze muafaka ukoje baada ya zinaa tuliyoifanya.
ahahahaha hiz sasa ndio moj ya mbinu kijana anatakiwa kuzijua.
Kwamba unaweza usimtongoze mwanamke lakin unaweza ukamla vizur tuuu.

Na hata wale ambao sometimes uko kwenye mchakato wa kuwapiga sound unaweza kukuta anakusumbua weww ila kuna mwamba anamgonga vizur tuuu wakat anaendelea kukufikiria kama wewe akukkubali au lah!...

Yan kuna time inabid the process iwe Riversible tokea mwisho kurud mwanzo asikariri tu kuanzia mwanzo - kati - mwisho 🤣🤣
 
ahahahaha hiz sasa ndio moj ya mbinu kijana anatakiwa kuzijua.
Kwamba unaweza usimtongoze mwanamke lakin unaweza ukamla vizur tuuu.

Na hata wale ambao sometimes uko kwenye mchakato wa kuwapiga sound unaweza kukuta anakusumbua weww ila kuna mwamba anamgonga vizur tuuu wakat anaendelea kukufikiria kama wewe akukkubali au lah!...

Yan kuna time inabid the process iwe Riversible tokea mwisho kurud mwanzo asikariri tu kuanzia mwanzo - kati - mwisho [emoji1787][emoji1787]
Binafs
sikumbuki Ni lini nmetongoza mwanamke

Yaan Ni mDA mrefu sana mkuu
ila hapa katkat nmewala Sana Yaan

Kwanza
naamini kumtongoza mwanamke Ni kujitengenezea mazingira magumu ya kumpata

Pili
Utaanza kuwekewa mashart kibao kila unapomhitaji,hata Kama ishu hazihusu mapenzi.

Tatu,
Mwanamke husika ukishamtongoza hata ukiwa nae mazingira hatarish atajishuku sn Unaweza kumbaka,hata Kama hukua na wazo Hilo.

Huwa napenda mwanamke awe comfortable mpk pale anapijikuta tayar keshaliwa kimasihara,

Apo ndo panakua patamu mnakaa kuzungumzia mustakabali wenu kwa jinsi unavojiskia Wewe.
 
Tatizo la wanawake,
Wakishajua ulishawatongoza
Hata ukiwa rafki yake haitosaidia

Chochote kizur utakachofanta kwake atajua unajipendekeza kuskilizia jibu lake.

Hata Kama Alikua anakuheshimu,hakuombi chochote,

Atabadilika ghafla,
ukimkwaza kdg anaropoka TU,
ataanza kukupiga vizinga bila aibu maana anajua unamtaka,hutochomoa.

You are ready to do anything for her

TAFSIRI YA WANAWAKE KWA MWANAUME ANAYEMPENDA KWELI SIO MISIMAMO

NI mwanaume aliyetayar KUFANYA chochote kwa ajili yake ili Kutetea penzi lake.

Hata Kama hapendi,Hana uwezo au kinadhalilisha utu wake, atafanya TU for the sake of love.

Mwanaume unayejitambua thamani yako, huwez kuruhusu huo Upuuzi eti mtu achezee hisia zako na kupotezeana muda.
Mkuu hujui kutembea na beat?

Unajifanya kama umeelewa ila unajua nini unafanya?

Kuwa na mwanamke si lazima umtongoze mpaka anafikia kusema tuwe marafiki kosa ni ww kufanya haraka kumuimbisha wakati ungeweza kwenda nae bila kutongoza.
 
KAtika harakati za kutongoza huwaga mwanaume anakutana na majibu mengi mojawapo ni hili la mwanamke kumwambia mwanaume wawe marafiki ukweli ni kwamba hapa umeshakataliwa tayari

Kama mwanamke kavutiwa na mwanaume kamwe hawez mwambia wawe marafiki lazima atamkubali ila kama hajavutiwa na mwanaume mara nyingi anamwambia wawe marafiki kwanza ila ukweli ni kwamba hajavutiwa naye

Na hii mbinu huwaga wanatumia wanawake wastaarabu kumkataa mwanaume wale kiburi-flow lazima akutolee maneno ya shombo na dhihaka

Mwanaume ukiwmbiwa muwe marafiki ni vizuri ukaachana na huyo mwanamke sababu ukiendelea kulazimisha utakuja umia
Nimewasilisha
.....Nakuchukulia zaidi kama mshikaji tu unajua ile sijawahi hata siku moja kuwa na hisia za hivyo juu yako....!😀

Nilishusha pumzi moja ndefu sana na kusema kimeumanaa! Hii rejection tactic moja ya kiprofesheno sana.
 
Ngoja ni kuambie yaani demu ukimpenda alafu akasema tuwe marafiki basi ujue teyar umeshavua nyangumi, maana lazima atakuwa karibu na ww ili akujue zaidi ila tu sasa mwamba usiharibu
 
Binafs
sikumbuki Ni lini nmetongoza mwanamke

Yaan Ni mDA mrefu sana mkuu
ila hapa katkat nmewala Sana Yaan

Kwanza
naamini kumtongoza mwanamke Ni kujitengenezea mazingira magumu ya kumpata

Pili
Utaanza kuwekewa mashart kibao kila unpomhitaji,hata Kama ishu hazihusu mapenzi.

Tatu,
Mwanamke husika ukishamtongoza hata ukiwa nae mazingira hatarish atajishuku sn Unaweza kumbaka,hata Kama hua wazo Hilo.

Huwa napenda mwanamke awe comfortable mpk pale anapijikuta tayar keshaliwa kimasihara,

Apo ndo panakua patamu mnakaa kuzungumzia mustakabali wenu kwa jinsi unavojiskia Wewe.
Kwanza mchakato wa kutongoza ni gharama sanaaaa na hapo mlengwa atakupiga sana kwakua anajua uko desparate kumpata
 
Achana na hizo porojo mkuu,

Penzi la kweli huwa Ni at first sight

Hayo ya kukupenda baadae jua ni unavumiliwa TU kwa sababu nyngn nyngn anazojua zinamfaidisha mwanamke mwnyw.

Usikubali kutumika, utaishia kupata sonona kwa kulazimisha penzi usikopendwa.
Serious mkuu ???


Wewe ni manzi wangapi walileta pigo za kirafiki mwisho wa siku wanatengeneza mazingira uwale ila ww ndio kama hutaki na nyuzi ushaleta humu???

Kutongoza mapema wengi siku hzi ndio wanatembea na beat ya urafiki. Sasa hapo ni ww akili kichwani mwako. Ni ngumu kuwapo na urafiki wa ke na Me hususani kama mmoja alishamtani mwenzie.
 
Hio michezo ipo sana af demu akiwa hana hisia na wewe anakugeuza punda wake wa kumbebea matatizo. 🤣🤣🤣🤣🤣 Usipokusa smart utaachwa nanja.

Tatizo la wanawake,
Wakishajua ulishawatongoza
Hata ukiwa rafki yake haitosaidia

Chochote kizur utakachofanta kwake atajua unajipendekeza kuskilizia jibu lake.

Hata Kama Alikua anakuheshimu,hakuombi chochote,

Atabadilika ghafla,
ukimkwaza kdg anaropoka TU,
ataanza kukupiga vizinga bila aibu maana anajua unamtaka,hutochomoa.

You are ready to do anything for her

TAFSIRI YA WANAWAKE KWA MWANAUME ANAYEMPENDA KWELI SIO MISIMAMO

NI mwanaume aliyetayar KUFANYA chochote kwa ajili yake ili Kutetea penzi lake.

Hata Kama hapendi,Hana uwezo au kinadhalilisha utu wake, atafanya TU for the sake of love.

Mwanaume unayejitambua thamani yako, huwez kuruhusu huo Upuuzi eti mtu achezee hisia zako na kupotezeana muda.
 
Sahii kabisa,
Binafs siwez kumtongoza mwanamke ambae najua direct Ni atanikataa,

nikishaona redflag za kunikataa hata sisemi chochote nampotezea kimya kimya.

Mpk nmetamka nishajiridhisha ntakubaliwa.

Zaid Zaid nikiwa na mashaka nae sn
Ntafanya nimle Kwanza afu kumtongoza kutafata baada ya kulalana tuzingumze muafaka ukoje baada ya zinaa tuliyoifanya.
Ubaya mwanamke ukimtamani kama hakuwazii hakupi entry points. Utagarauka moyo sana mwisho utaona bora uropoke tu famlilahi.
 
Achana na hizo porojo mkuu,

Penzi la kweli huwa Ni at first sight

Hayo ya kukupenda baadae jua ni unavumiliwa TU kwa sababu nyngn nyngn anazojua zinamfaidisha mwanamke mwnyw.

Usikubali kutumika, utaishia kupata sonona kwa kulazimisha penzi usikopendwa.
Mwanamke kama anakukubali ni mapema tu tena wala hutumii nguvu🤣 ila akikukataa wala anakuwa hana time na wewe.
 
Hio michezo ipo sana af demu akiwa hana hisia na wewe anakugeuza punda wake wa kumbebea matatizo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Usipokusa smart utaachwa nanja.
Utatumika mpk uchakae,

Huo ujinga wa kuwekwa friend zone wanapaswa wafanyiwe Wanaume single, desperate na wasiojiamini


Yaani wale wanaitwa BETA MALES
 
Back
Top Bottom