Ukimtongoza mwanamke na akakuambia muwe marafiki kwanza ujue hapo amekukataa tayari jiongeze achana naye

Zaid Zaid nikiwa na mashaka nae sn
Ntafanya nimle Kwanza afu kumtongoza kutafata baada ya kulalana tuzingumze muafaka ukoje baada ya zinaa tuliyoifanya.
ahahahaha hiz sasa ndio moj ya mbinu kijana anatakiwa kuzijua.
Kwamba unaweza usimtongoze mwanamke lakin unaweza ukamla vizur tuuu.

Na hata wale ambao sometimes uko kwenye mchakato wa kuwapiga sound unaweza kukuta anakusumbua weww ila kuna mwamba anamgonga vizur tuuu wakat anaendelea kukufikiria kama wewe akukkubali au lah!...

Yan kuna time inabid the process iwe Riversible tokea mwisho kurud mwanzo asikariri tu kuanzia mwanzo - kati - mwisho 🤣🤣
 
Binafs
sikumbuki Ni lini nmetongoza mwanamke

Yaan Ni mDA mrefu sana mkuu
ila hapa katkat nmewala Sana Yaan

Kwanza
naamini kumtongoza mwanamke Ni kujitengenezea mazingira magumu ya kumpata

Pili
Utaanza kuwekewa mashart kibao kila unapomhitaji,hata Kama ishu hazihusu mapenzi.

Tatu,
Mwanamke husika ukishamtongoza hata ukiwa nae mazingira hatarish atajishuku sn Unaweza kumbaka,hata Kama hukua na wazo Hilo.

Huwa napenda mwanamke awe comfortable mpk pale anapijikuta tayar keshaliwa kimasihara,

Apo ndo panakua patamu mnakaa kuzungumzia mustakabali wenu kwa jinsi unavojiskia Wewe.
 
Mkuu hujui kutembea na beat?

Unajifanya kama umeelewa ila unajua nini unafanya?

Kuwa na mwanamke si lazima umtongoze mpaka anafikia kusema tuwe marafiki kosa ni ww kufanya haraka kumuimbisha wakati ungeweza kwenda nae bila kutongoza.
 
.....Nakuchukulia zaidi kama mshikaji tu unajua ile sijawahi hata siku moja kuwa na hisia za hivyo juu yako....!😀

Nilishusha pumzi moja ndefu sana na kusema kimeumanaa! Hii rejection tactic moja ya kiprofesheno sana.
 
Ngoja ni kuambie yaani demu ukimpenda alafu akasema tuwe marafiki basi ujue teyar umeshavua nyangumi, maana lazima atakuwa karibu na ww ili akujue zaidi ila tu sasa mwamba usiharibu
 
Kwanza mchakato wa kutongoza ni gharama sanaaaa na hapo mlengwa atakupiga sana kwakua anajua uko desparate kumpata
 
Serious mkuu ???


Wewe ni manzi wangapi walileta pigo za kirafiki mwisho wa siku wanatengeneza mazingira uwale ila ww ndio kama hutaki na nyuzi ushaleta humu???

Kutongoza mapema wengi siku hzi ndio wanatembea na beat ya urafiki. Sasa hapo ni ww akili kichwani mwako. Ni ngumu kuwapo na urafiki wa ke na Me hususani kama mmoja alishamtani mwenzie.
 
Hio michezo ipo sana af demu akiwa hana hisia na wewe anakugeuza punda wake wa kumbebea matatizo. 🤣🤣🤣🤣🤣 Usipokusa smart utaachwa nanja.

 
Ubaya mwanamke ukimtamani kama hakuwazii hakupi entry points. Utagarauka moyo sana mwisho utaona bora uropoke tu famlilahi.
 
Mwanamke kama anakukubali ni mapema tu tena wala hutumii nguvu🤣 ila akikukataa wala anakuwa hana time na wewe.
 
Hio michezo ipo sana af demu akiwa hana hisia na wewe anakugeuza punda wake wa kumbebea matatizo. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Usipokusa smart utaachwa nanja.
Utatumika mpk uchakae,

Huo ujinga wa kuwekwa friend zone wanapaswa wafanyiwe Wanaume single, desperate na wasiojiamini


Yaani wale wanaitwa BETA MALES
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…