Ukimuomba pesa rafiki yako anakusaidia kwa haraka, lakini kila akikuomba kwako huna kitu.

Mkuu unapomsaidia mtu awaye yeyote, namaanisha awe ndugu au rafiki just do it for free na usitegemee chochote,, kwasababu sio kila mtu ataona umuhimu wa msaada wako hapo ndipo utakapozalisha maumivu
Sahihi
 
Roho mbaya ni ile inayompangia MUNGU nani anafaa kubarikiwa na nani hafai kwa vigezo vya kibinaadamu. Kwa bahati mbaya sana Wenye Roho mbaya hujiumbua wenyewe. Ishi kawaida kama siku zote Boss usijiingize hakufai
Takers have no limit mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…