Hii Safi sanaNamwita wife pembeni kama kuna kitu namuagiza afu namuuliza huyo ni nani? Bila mhusika kusikia
Au nawafuata wote afu namuuliza wife unaelekea wapi saiz,
Au nampigia simu kama hawajaniona namuuliza uko wapi wife akinidanganya naanza kuwafuatilia akijibu sahihi namuuliza huyo ni nani
Baada ya hapo natengeneza ratiba nyingine ya ghafla kwa wife ili mradi abadili route na kuelekea nyumbani. Akifika home semina na kipindi cha maswali na majibu kinaanza
Ma- cousin kwa kulana asikuambie mtu mkuu [emoji16]Msalimie mkeo kwa bashasha. Unaweza kukuta huyo ni 'cousin' wake miaka tele hawajaonana. Usijipe stress kabla stress yenyewe haijaja rasmi.
Utakuja ufe kwa presha wewe!Namwita wife pembeni kama kuna kitu namuagiza afu namuuliza huyo ni nani? Bila mhusika kusikia
Au nawafuata wote afu namuuliza wife unaelekea wapi saiz,
Au nampigia simu kama hawajaniona namuuliza uko wapi wife akinidanganya naanza kuwafuatilia akijibu sahihi namuuliza huyo ni nani
Baada ya hapo natengeneza ratiba nyingine ya ghafla kwa wife ili mradi abadili route na kuelekea nyumbani. Akifika home semina na kipindi cha maswali na majibu kinaanza
Yani tabu zote za nini hizo, unajifanya umemmiss kweli. Kama uko na usafiri unamkwarua chap unaenda nae Lodge ya jirani unambandua kweri kweri kisha unampa nauli arudi home.😁😁😁Namwita wife pembeni kama kuna kitu namuagiza afu namuuliza huyo ni nani? Bila mhusika kusikia
Au nawafuata wote afu namuuliza wife unaelekea wapi saiz,
Au nampigia simu kama hawajaniona namuuliza uko wapi wife akinidanganya naanza kuwafuatilia akijibu sahihi namuuliza huyo ni nani
Baada ya hapo natengeneza ratiba nyingine ya ghafla kwa wife ili mradi abadili route na kuelekea nyumbani. Akifika home semina na kipindi cha maswali na majibu kinaanza
Mkulungwa neno la kimakonde linalomaanisha mkuu/mkubwa/chief.Hili neno mkulungwa nini maana yake??nalisikia sana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Yani tabu zote za nini hizo, unajifanya umemmiss kweli. Kama uko na usafiri unamkwarua chap unaenda nae Lodge ya jirani unambandua kweri kweri kisha unampa nauli arudi home.[emoji16][emoji16][emoji16]
Hili neno mkulungwa nini maana yake??nalisikia sana
Amna mkuu siwezi, hizo ni tecnic za kivita ku protect mother country kabla stress hazijaingiaUtakuja ufe kwa presha wewe!
Yani gharama zote hizo za nini, si umwambie tu "nikukute nyumbani sasa hivi"[emoji3]Yani tabu zote za nini hizo, unajifanya umemmiss kweli. Kama uko na usafiri unamkwarua chap unaenda nae Lodge ya jirani unambandua kweri kweri kisha unampa nauli arudi home.[emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa unafikiri kama alikuwa anaenda gongwa ndio atahairisha kisa huo mkwara?Unawajua wanawake au unawasikia tu?😁Yani gharama zote hizo za nini, si umwambie tu "nikukute nyumbani sasa hivi"[emoji3]
[emoji3]Daah wabongo hamuishiwi sababu, Basi hebu tumlipie guest kuokoa penzi, kuokoa gharama kwa hilo sitoweza vumiliaSasa unafikiri kama alikuwa anaenda gongwa ndio atahairisha kisa huo mkwara?Unawajua wanawake au unawasikia tu?[emoji16]
Hivyo vibao atajiandaa navyo tu ila lazma akamburudishe mwenzio. Atakurudia mda akimaliza na hutamtia siku hio kwa utata ataoleta.
Bora akamgonge yeye mwenye mali na kumpizia kabisa ndani mishahawa iwe inachuruzika tu, hapo demu kwa uchovu na hio hali hata hamu atakuwa hana tena lazma watumiane mesej dili imeshaharibika.[emoji3]Daah wabongo hamuishiwi sababu, Basi hebu tumlipie guest kuokoa penzi, kuokoa gharama kwa hilo sitoweza vumilia