Ukimuona jamaa yuko na mkeo mjini wanatembea utafanyaje?

Ukimuona jamaa yuko na mkeo mjini wanatembea utafanyaje?

Namwita wife pembeni kama kuna kitu namuagiza afu namuuliza huyo ni nani? Bila mhusika kusikia

Au nawafuata wote afu namuuliza wife unaelekea wapi saiz,

Au nampigia simu kama hawajaniona namuuliza uko wapi wife akinidanganya naanza kuwafuatilia akijibu sahihi namuuliza huyo ni nani

Baada ya hapo natengeneza ratiba nyingine ya ghafla kwa wife ili mradi abadili route na kuelekea nyumbani. Akifika home semina na kipindi cha maswali na majibu kinaanza
Hii Safi sana
 
Msalimie mkeo kwa bashasha. Unaweza kukuta huyo ni 'cousin' wake miaka tele hawajaonana. Usijipe stress kabla stress yenyewe haijaja rasmi.
Ma- cousin kwa kulana asikuambie mtu mkuu [emoji16]
 
Namwita wife pembeni kama kuna kitu namuagiza afu namuuliza huyo ni nani? Bila mhusika kusikia

Au nawafuata wote afu namuuliza wife unaelekea wapi saiz,

Au nampigia simu kama hawajaniona namuuliza uko wapi wife akinidanganya naanza kuwafuatilia akijibu sahihi namuuliza huyo ni nani

Baada ya hapo natengeneza ratiba nyingine ya ghafla kwa wife ili mradi abadili route na kuelekea nyumbani. Akifika home semina na kipindi cha maswali na majibu kinaanza
Utakuja ufe kwa presha wewe!
 
Namwita wife pembeni kama kuna kitu namuagiza afu namuuliza huyo ni nani? Bila mhusika kusikia

Au nawafuata wote afu namuuliza wife unaelekea wapi saiz,

Au nampigia simu kama hawajaniona namuuliza uko wapi wife akinidanganya naanza kuwafuatilia akijibu sahihi namuuliza huyo ni nani

Baada ya hapo natengeneza ratiba nyingine ya ghafla kwa wife ili mradi abadili route na kuelekea nyumbani. Akifika home semina na kipindi cha maswali na majibu kinaanza
Yani tabu zote za nini hizo, unajifanya umemmiss kweli. Kama uko na usafiri unamkwarua chap unaenda nae Lodge ya jirani unambandua kweri kweri kisha unampa nauli arudi home.😁😁😁
 
Unaaharibu, hutakiwi hata uwasemeshe, cha kufanya:

1. Kaa mahali unapowaona wao wasikuone.
2. Wakiachana fanya namna yeyote ujue Huyo jamaa anakaa wapi/anafanya kazi wapi na profile yake.
3. Anza kutafuta kujua ni nani!
 
Yani ili kuwaharibia mipango kama ni mkeo maana yake una mamlaka nae.

Ukiona huelewi unamvuta pembeni unampanga kuna zawadi unataka ukampe, unamvuta lodge ya jirani unamtwanga mashine kinoma kisha unamuachia hela ya Uber arudi home unamwambia zawadi iko ofisini utampelekea ukitoka job.
 
Yani tabu zote za nini hizo, unajifanya umemmiss kweli. Kama uko na usafiri unamkwarua chap unaenda nae Lodge ya jirani unambandua kweri kweri kisha unampa nauli arudi home.[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Yani gharama zote hizo za nini, si umwambie tu "nikukute nyumbani sasa hivi"[emoji3]
Sasa unafikiri kama alikuwa anaenda gongwa ndio atahairisha kisa huo mkwara?Unawajua wanawake au unawasikia tu?😁

Hivyo vibao atajiandaa navyo tu ila lazma akamburudishe mwenzio. Atakurudia mda akimaliza na hutamtia siku hio kwa utata ataoleta.
 
Nitafanya juu chini niwapige picha alafu baadae nikiwa kwenye utulivu na mke wangu sasa nigaanzisha stori ya kumteka akili nione kama anasema kama alikuwa na jamaa
 
Najificha sehemu huku nikifuatilia sakata zima la akina Halima mdee!
Wakiachana hapohapo nitaenda kumuuliza Halima mdee huyo aliyekuwa anaongea nae alikuwa nani na walikuwa wakiongea nini?

Kwa namna nilivyo mtaalamu nitafahamu kila kitu na kuchukua hatua.

Mke anauma wewe ila pale inapobidi ataachwa na kichapo juu
 
Niwafuatilia kwa nyuma nijue wanaelekea wapi??
 
Sasa unafikiri kama alikuwa anaenda gongwa ndio atahairisha kisa huo mkwara?Unawajua wanawake au unawasikia tu?[emoji16]

Hivyo vibao atajiandaa navyo tu ila lazma akamburudishe mwenzio. Atakurudia mda akimaliza na hutamtia siku hio kwa utata ataoleta.
[emoji3]Daah wabongo hamuishiwi sababu, Basi hebu tumlipie guest kuokoa penzi, kuokoa gharama kwa hilo sitoweza vumilia
 
[emoji3]Daah wabongo hamuishiwi sababu, Basi hebu tumlipie guest kuokoa penzi, kuokoa gharama kwa hilo sitoweza vumilia
Bora akamgonge yeye mwenye mali na kumpizia kabisa ndani mishahawa iwe inachuruzika tu, hapo demu kwa uchovu na hio hali hata hamu atakuwa hana tena lazma watumiane mesej dili imeshaharibika.
 
unawaacha tu ila akirud usiku kesi akirudi mchana nakausha
 
Back
Top Bottom