Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,604
- 3,319
Usma alikuwa shirikisho kipindi hicho ns sasa yupo shirikisho nn kimebadilika kwa usma?Kwa maana iyo kipindi kile ndio kipindi hiki? USM alger ya sasa ndio Ile ya kipindi kile kiubora? Kama wangekuwa na ubora wa kipindi kile basi wasingekuwa shirikisho msimu huu,,ilikuwa shirikisho but alimfunga yanga kwenye hatua gani,,je kwasasa ubora wake anaweza kusimama na yanga Tena akamfunga?
Wewe amekupasua huko shirikisho ukiwa bingwa wa ligi hebu niambie nn kimebadilika kwako? Au unataka kusema Yanga hii imepanda kiwango kuliko ile?