UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Ukimwi sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa (Syndrome), na magonjwa yote hayo yanatiba kamili zinatambulika na kufahamika vyema katika ulimwengu wa kitabibu. Nani anabisha?

- Magonjwa haya husababishwa na kushuka kwa kinga ya mwili (upungufu wa kinga mwilini), lakini unaweza kuyapata hata kama huna upungufu wa kinga mwilini, mfano T.B.

- Upungufu wa kinga mwilini husababishwa na virusi vya ukimwi, lakini unaweza kupata upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) kwa sababu zingine mbali mbali, mfano lishe duni.

- Magonjwa hayo yote yanaweza kutibika kwa dawa za kawaida zinazofahamika, mfano kama una T.B, unaweza kupaata dawa za T.B na ukapona 100%.

- Mtu anaweza kupandisha kinga ya mwili (bila kujali imesababishwa na nini) kwa kupata mlo kamili wenye viini lishe pamoja na food supplements za vitamini na madini.

Sasa swali langu ni hili.

Bila kujali kama mtu ana upungufu wa kinga mwilini au la, Mtu akiumwa T.B, unatakiwa umpe ARVs zinazoenda kuuwa ini na figo au unatakiwa umpe Dawa za T.B (zipo na zinajulikana) pamoja na mlo kamili?

Hivi hakuna namna yeyote ili ya kurudisha na kumaingain kinga ya mwili bila kuvifubaza virusi?

===========================


=========================
 
Trump katuletea shida.


C5B6B29C-9074-460B-A780-C4075614D18D.jpeg
 
Ukimwi sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa (Syndrome), na magonjwa yote hayo yanatiba kamili zinatambulika na kufahamika vyema katika ulimwengu wa kitabibu. Nani anabisha?

- Magonjwa haya husababishwa na kushuka kwa kinga ya mwili (upungufu wa kinga mwilini), lakini unaweza kuyapata hata kama huna upungufu wa kinga mwilini, mfano T.B.

- Upungufu wa kinga mwilini husababishwa na virusi vya ukimwi, lakini unaweza kupata upungufu wa kinga mwilini (Ukimwi) kwa sababu zingine mbali mbali, mfano lishe duni.

- Magonjwa hayo yote yanaweza kutibika kwa dawa za kawaida zinazofahamika, mfano kama una T.B, unaweza kupaata dawa za T.B na ukapona 100%.

- Mtu anaweza kupandisha kinga ya mwili (bila kujali imesababishwa na nini) kwa kupata mlo kamili wenye viini lishe pamoja na food supplements za vitamini na madini.

Sasa swali langu ni hili.

Bila kujali kama mtu ana upungufu wa kinga mwilini au la, Mtu akiumwa T.B, unatakiwa umpe ARVs zinazoenda kuuwa ini na figo au unatakiwa umpe Dawa za T.B (zipo na zinajulikana) pamoja na mlo kamili?

Hivi hakuna namna yeyote ili ya kurudisha na kumaingain kinga ya mwili bila kuvifubaza virusi?
Mathanzua atasema "Aids ni man made disease "
 
Back
Top Bottom