UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

Peleka huo ushauri hospitals mkuu utawasaidia wengi. Pia donates some moneys for food and food supplements
Madaktari wote wanajua!!!!!, kama unabisha muite daktari yeyote hapa jukwaani unaemjua, aje hapa, nipo namsubiri, aje abishee!!! Tatizo wako underspecific instructions kuhakikisha mashudu ya ARV yanaliwa kwa wingi kuliko chakula lishe. Then baadae wanakuuzia figo kwa milioni 200…..

ARV hazitibu Ukimwi , wala hazipandishi kinga ya mwili, bali for sure, zinaleta kidney na liver failure, na hiki ndicho huua waathirika…, uliza daktari yeyote, halafu rudi hapa akishakupa majibu, nakusubiri!!
 
Back
Top Bottom