FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #241
Ukibaki na HIV peke yake, Bila malaria, utaumwa?Ugonjwa ni kitendo cha hao wadudu au virus kuzi halibu na kuziua kinga za mwili ...kama baada ya hapo ukapata Malaria hapo tuna hesabu una magonjwa mawili HIV NA MALARIA
Cancer utaumwa baada ya muda ikifika stage ya juu. Ila HIV , hata baada ya miaka 500 hutaumwa, Labda upate maambukizi ya ugonjwa mmoja wapo…Wewe kichwa chako unafugia nywele au🙄 kuwa na ugonjwa siyo lazima uumwe ndiyo maana magonjwa yana hatua mfano cancer hatua ya 1...2...3....4 baadhi ya hizo hatua unakuwa hau umwi kitu hadi hatua fulani ndiyo unaanza kuumwa
Hutaumwa ila utakufa mapema kwa kinga za mwili kuisha.Ukibaki na HIV peke yake, Bila malaria, utaumwa?
Wewe unaruka ruka na kubadili mada tunazungumzia Kuwa na ugonjwa ...nimesema kuwa....ugonjwa unatangulia hata kabla ya kuumwa ...mada hapa ni neno UGONJWA SIYO KUUMWA ..YAPO MAGONJWA YA AREJI AMBAYO USIPO KULA LABDA NYAMA UPATI TATIZO hivyo mtu huyo tunasema ana ugonjwa wa areji ya kula nyama hata kama ameacha kula nyama maisha yake yote ...napoteza muda kueoimisha ng'ombeCancer utaumwa baada ya muda ikifika stage ya juu. Ila HIV , hata baada ya miaka 500 hutaumwa, Labda upate maambukizi ya ugonjwa mmoja wapo…
Kinga za mwili zikiisha, bila kupata maambukizi yeyote mengine, unakufaje mapema?Hutaumwa ila utakufa mapema kwa kinga za mwili kuisha.
Huyo uliye mwongelea kuwa alikutwa na wadudu wa HIV na akala na kufanya mazoezi stahiki na akapona.
Huenda vipimo vya kwanza vilikosewa au alipewa vipimo vya mtu mwingine.
Au ulikuwa ni mwujiza.
Hao virus sio wa kuwaongelea kirahisi rahisi namna hii.
Tafiti za wataalamu zilizopitishwa na WHO zimeridhia kuwa RV ndio suluhisho la awali la mtu mwenye HIV.
Who is He to disprove ?
Umesahau kwamba unaweza pata cancer kwasababu ya UKIMWI?? cancer haitegemeani na pathogens, wale virus wa ukimwi huwa wana vinasaba vya cancer (oncogenes) ambavyo vinakwenda kwenye dna yako. Sasa kwanini asiumwe ilihali yupo kwenye sterile environment.Tunaposema ‘Hypothetical sterile environment’ tunamaanisja ndani na nje ya mwili, kwamba assuming hakuna pathogen nje wala ndani ya mwili, bali wawepo hao tu wa HIV ambao wanashusha kinga, mtu ataumwa?
Kinacholeta Cancer ni ARV’s, hii ni tafiti imefanyika. HIV huua kabisa whiteblood cells, na sio kuzibadilisha na kuleta cancer.Umesahau kwamba unaweza pata cancer kwasababu ya UKIMWI?? cancer haitegemeani na pathogens, wale virus wa ukimwi huwa wana vinasaba vya cancer (oncogenes) ambavyo vinakwenda kwenye dna yako. Sasa kwanini asiumwe ilihali yupo kwenye sterile environment.
Cancer ni moja ya mifano michache, kuna magonjwa mengi tu ambayo anaweza kupata bila kuinteract na pathogen hata mmoja.
Siwezi kupinga kama arvs zinaleta cancer au la kwa sababu sina elimu nazo, ila nnauhakika kwamba virus wa ukimwi wana oncogenes, hii nnauhakika nayo kabisaKinacholeta Cancer ni ARV’s, hii ni tafiti imefanyika. HIV huua kabisa whiteblood cells, na sio kuzibadilisha na kuleta cancer.
Hakuna kitu kama hicho, Pathogen wengine kama wataingia kwa urahisi na kuleta cancer ni sawa, ila sio HIV..,Siwezi kupinga kama arvs zinaleta cancer au la kwa sababu sina elimu nazo, ila nnauhakika kwamba virus wa ukimwi wana oncogenes, hii nnauhakika nayo kabisa
Haizibadilishi whiteblood cells, mechanism yake ipo hivi, wale virus wakiingia kwenye mwili wanaattack cd4 receptors, then wanaingia ndani ya seli za t helper, wakiingia kile ki RNA cha ukimwi kinabadilika kuwa DNA, then inaungana na dna ya mwathirika, hiki kipindi virus anatengeneza messenger rRNA, ili itengeneze protein, katika protein zitakazo tengenezwa zitakuwa na sumu inayoleta cancerKinacholeta Cancer ni ARV’s, hii ni tafiti imefanyika. HIV huua kabisa whiteblood cells, na sio kuzibadilisha na kuleta cancer.
Labda kama kuna pathogen mwingine ataingia as a result ya kinga kushuka na kuketa cancer, labda..
Doesn't directly cause cancer, inacause indirectly, mechanism nimeielezea hapoHakuna kitu kama hicho, Pathogen wengine kama wataingia kwa urahisi na kuleta cancer ni sawa, ila sio HIV..,
View attachment 3231758
Muone kwanza na komwe lake, kama taahira..
Haizibadilishi whiteblood cells, mechanism yake ipo hivi, wale virus wakiingia kwenye mwili wanaattack cd4 receptors, then wanaingia ndani ya seli za t helper, wakiingia kile ki RNA cha ukimwi kinabadilika kuwa DNA, then inaungana na dna ya mwathirika, hiki kipindi virus anatengeneza messenger rRNA, ili itengeneze protein, katika protein zitakazo tengenezwa zitakuwa na sumu inayoleta cancer
Mechanism wameeleza hapo, kwamba kwa kuwa kinga imeshuka, pathogen wengine ndio wanakuja na kusababisha opportunistic cancer, ila sio HIV, unachosema ni scientific gibberish.., mechanism imeelezwa hapo chini…Doesn't directly cause cancer, inacause indirectly, mechanism nimeielezea hapo
Okay sawaMechanism wameeleza hapo, kwamba kwa kuwa kinga imeshuka, pathogen wengine ndio wanakuja na kusababisha opportunistic cancer, ila sio HIV, unachoaema ni scientific gibberish.., mechanism imeelezwa hapo chini…
View attachment 3231763
Mi ninavyo elewa maambukizi yapo wakati wote kwa kiumbe hai, ila kinga za miili yetu zinapambana muda wote kuweza kuwa na afya njema, zikizidiwa ndio maswala ya matibabu yanafuata.Kinga za mwili zikiisha, bila kupata maambukizi yeyote mengine, unakufaje mapema?
Soma uzi tokea mwanzo, kurudia kitu kimoja mara 100 vidole vimechoka.Mi ninavyo elewa maambukizi yapo wakati wote kwa kiumbe hai, ila kinga za miili yetu zinapambana muda wote kuweza kuwa na afya njema, zikizidiwa ndio maswala ya matibabu yanafuata.
Hebu nikuulize
Kwa utaalamu wako mtu aliyeambukizwa Virus wa HIV na kuanza kuliwa kinga zake hadi kupelekea kinga zake kuzidiwa unamshauri afanyeje ili asipate madhara ya hata kupelekea kifo chake ?
Hebu tupe maarifa yako.
Ulisema mtu huyo afanye mazoezi na kula vyakula bora ili aimarishe afya yake.Soma uzi tokea mwanzo, kurudia kitu kimoja mara 100 vidole vimechoka.
Vyakula bora ni cheaper kuliko toxic Junk food.., hivyo hata aliyekijijini huko anaweza kupata vyakula bora kama mchicha, spinach, maembe, machungwa, karanga, parachichi, ndizi, viazi vitamu, nk.Ulisema mtu huyo afanye mazoezi na kula vyakula bora ili aimarishe afya yake.
Vipi mtu asiyeweza kupata hivyo vyakula bora kutokana na kipato chake kidogo?
Na ndio watu wengi katika jamii zetu.
Hao watu unawashauri wafanye mambo gani ?
Kwahiyo hivyo vyakula ulivyo viorodhesha ndio suluhisho la waathirika wa HIV Aids ?Vyakula bora ni cheaper kuliko toxic Junk food.., hivyo hata aliyekijijini huko anaweza kupata vyakula bora kama mchicha, spinach, maembe, machungwa, karanga, parachichi, ndizi, viazi vitamu, nk.
Maan usije ukawa unafikiri kwamba vyakula bora ni Pizza ya elfu 30 kama inayouzwa pale mlimani city.., hapana!
Eitherway, mimi sio juu yangu kujua mtu atapata wapi pesa ya chakula.., hainihusu..