UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

UKIMWI (AIDS) sio ugonjwa, bali ni mkusanyiko wa magonjwa, na yote yanatiba zinazofahamika, Kuna mtu anabisha?

K
Kwahiyo hivyo vyakula ulivyo viorodhesha ndio suluhisho la waathirika wa HIV Aids ?

Huo utafiti wako uliufanyia wapi, na ulitumia vipimo, mbinu, nadharia na sampuli gani, ili kuweza kupata hitimisho lako ?
Au ni maoni yako binafsi tu ?
Kumbuka No Research No Right to......
Wapi nimesema kwamba ndio suluhisho?

Hayo niliyoyasema yote ni facts na unaweza kuverify kwa njia yoyote .unayopendelea.

Taja chochote nilichosema ili nikupe ushahidi.
 
Wapi nimesema kwamba ndio suluhisho?

Hayo niliyoyasema yote ni facts na unaweza kuverify kwa njia yoyote .unayopendelea.

Taja chochote nilichosema ili nikupe ushahidi.
Tusaidie tu, peleka hilo wazo lako Wizara ya Afya ili waone ni namna gani watalitumia kwa ustawi wa afya ya jamii.
 
tutachoka kuzika usiombe kitu hicho
Nahisi serikali itakuja na mpango mbadala na viwanda vitatengeneza dawa za bei nafuu, ARVs itauzwa kama panadol, na uwezekano wa mtu kufikisha miaka 80 hautokuwepo tena.
 
Hawajui tu!

Uwembamba ndiyo mwili unaopiganiwa duniani, ndiyo mwili mzuri.

Ila usiwe mwembamba sana! Uwe ile uwembamba wa kawaida.

Nina kawaida ya kufanya medical check up mwanzoni mwa mwaka na mwisho wa mwaka ni ratiba yangu.

Nipo miongoni mwa watu ambao si mwembamba wala si mnene! Nipo kati kwa kati.

Nikapima uzito nikamuuliza daktari vipi hapo kilo yangu?

Akaniambia baki hapo hapo! Miili kama yenu inatafutwa sana duniani!
Una kg ngapi
 
Likiwa moja moja yanatibika ila kwa mkupuo ngumu sana mkuu. Mashambulizi yanakuwa makali mno na kinga za mwili zinaelemewa
Kuna point ambapo kinga nayo huchanganyikiwa na kutorespond kabisa.
Immunity iki respond kwenye multiple infections inao uwezo wa kuleta mauti kwenye battle hiyo.
Naturally immunity ni kwa akili ya ulinzi wa mwili na inajuwa kuwa go cha mwisho ku respond.
 
Back
Top Bottom