Baada ya kutafakari kwa kina nimegundua UKIMWI sio ugonjwa ila ni biashara ya big pharmaceutical industries.
Hebu jaribu kufatilia na wewe, kwanini ugonjwa huu umepewa kipaumbele kikubwa hivyo na serikali za dunia ya tatu kuliko kwa magonjwa mengine? Jibu ni moja tu wanalazimishwa na huko wanakoomba mikopo na UN (United Nations)wanacontroliwa na US coz 23% ya bugdet yao anatoa USA.
USA ni cooperation owned by Rockafella, uhuni uko hapa pharmaceutical industries karibia zote za usa zinamilikiwa na hii familia ya Rockfella. Rockfella ni lucifer bloodline ambayo inachowaza ni kututawala na pesa tu.
Kwa first world countries concentration iko kwa ugonjwa mwingine uitwao cancer. Research it!!!!!!
Ugonjwa huu unapatikana kupitia vitu vinavyosababisha mwili kuwa more acidic (cocacola,mcdonald,GMO) bidhaa ziko nyingi na zimethibitika kabisa kusababisha huu ugonjwa. Kwanini ugonjwa huu usizuiwe kwa kuzipiga marufuku hizi bidhaa? Hapana hawawezi kwa sababu cancer industry inailetea USA 200 BILLION USD each year.
Chanzo cha UKIMWI sio kutia dyudyu ila kupima. Wanakusisitizia upime ukishapima tu wanakulazimisha ARVS. Hapo ndo safari ya matumaini inaanza. Safari hii ndo inakupeleka kwenye upungufu wa kinga mwilini. Nina imani sasa wote mmeona inachokifanya ARVS kwa wagonjwa, mosi inakunenepesha kama nguruwe, pili inakufanya addict, tatu inaanza kuharibu sehemu muhimu za mwili ikianzia na ini, moyo na figo na kongosho.
Mwisho wa siku upungufu wa kinga unakujia kutokana na hizo sehem kufail (HAINA UBISHI TENA ARVS NDO SABABU YA UGONJWA HUU).
Ukweli Kuhusu UKIMWI - MUUNGWANA BLOG